Kwa Calculation hizi mimi Nanyoosha Mikono!

Hesabu kwangu ilikuwa ni mama mkwe nimejitahidi sana mtihani 65% na hapo nimeshaumiza kichwa vya kutosha
 
Hahaha! Nimeipenda and its true! Wanasemaga wanawake huwezi ishi nao na huwezi ishi bila wao. Kwahiyo huna namna zaid ya kuishi ndani ya matatizo
umenifurahisha sana na maneno yako kijana
teh ! teh! teh!
ni kweli huwezi kuyakimbia mapenzi zaidi ya kubaki kulalama tuu lkn humo tuu !
 
Reactions: ydn
Hesabu ni noma
Sema ndiyo vile kwa wale rafiki zangu wa People Calculate like Machine basi Mororo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…