Kwa Calculation hizi mimi Nanyoosha Mikono!

Francis Mawere

JF-Expert Member
Nov 17, 2015
954
824
15107346_798854100217594_7777261095395881037_n.jpg
 

Attachments

  • 15107346_798854100217594_7777261095395881037_n.jpg
    15107346_798854100217594_7777261095395881037_n.jpg
    31.6 KB · Views: 45
Hesabu kwangu ilikuwa ni mama mkwe nimejitahidi sana mtihani 65% na hapo nimeshaumiza kichwa vya kutosha
 
Hahaha! Nimeipenda and its true! Wanasemaga wanawake huwezi ishi nao na huwezi ishi bila wao. Kwahiyo huna namna zaid ya kuishi ndani ya matatizo
umenifurahisha sana na maneno yako kijana
teh ! teh! teh!
ni kweli huwezi kuyakimbia mapenzi zaidi ya kubaki kulalama tuu lkn humo tuu !
 
  • Thanks
Reactions: ydn
:D:D:D:D:DHesabu ni noma:D:D:D:D
Sema ndiyo vile kwa wale rafiki zangu wa People Calculate like Machine basi Mororo
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom