Kwa Calculation hizi mimi Nanyoosha Mikono!

Kwa Calculation hizi mimi Nanyoosha Mikono!

Francis Mawere

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2015
Posts
966
Reaction score
840
15107346_798854100217594_7777261095395881037_n.jpg
 

Attachments

  • 15107346_798854100217594_7777261095395881037_n.jpg
    15107346_798854100217594_7777261095395881037_n.jpg
    31.6 KB · Views: 51
Hesabu kwangu ilikuwa ni mama mkwe nimejitahidi sana mtihani 65% na hapo nimeshaumiza kichwa vya kutosha
 
Hahaha! Nimeipenda and its true! Wanasemaga wanawake huwezi ishi nao na huwezi ishi bila wao. Kwahiyo huna namna zaid ya kuishi ndani ya matatizo
 
Hahaha! Nimeipenda and its true! Wanasemaga wanawake huwezi ishi nao na huwezi ishi bila wao. Kwahiyo huna namna zaid ya kuishi ndani ya matatizo
umenifurahisha sana na maneno yako kijana
teh ! teh! teh!
ni kweli huwezi kuyakimbia mapenzi zaidi ya kubaki kulalama tuu lkn humo tuu !
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Hesabu ina wenyewe mimi hapana unaumiza akili weeee mwisho wa kazi unaambulia x
 
ha ha ha😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
😀😀😀😀😀Hesabu ni noma😀😀😀😀
Sema ndiyo vile kwa wale rafiki zangu wa People Calculate like Machine basi Mororo
 
Back
Top Bottom