Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 38,518
- 48,828
Nimezaliwa na kukuwa Arusha.
Hakuna uchochoro wa mji ambao kwakweli siufahamu.
Naona Makonda kama mvamizi tu.
Mji haujui, hajui watu wake, matatizo yake na wala hawezi kuyasemea matatizo ya watu wa Arusha kama vile angewasemea watu wa kule kwao koromije.
Arusha kwake ni kama ngazi ya mafanikio tu kwake.
Hivyo napinga kwa vyovyote vile kumpa nafasi Makonda kugombea Arusha mjini.
Hakuna uchochoro wa mji ambao kwakweli siufahamu.
Naona Makonda kama mvamizi tu.
Mji haujui, hajui watu wake, matatizo yake na wala hawezi kuyasemea matatizo ya watu wa Arusha kama vile angewasemea watu wa kule kwao koromije.
Arusha kwake ni kama ngazi ya mafanikio tu kwake.
Hivyo napinga kwa vyovyote vile kumpa nafasi Makonda kugombea Arusha mjini.