Ndo mnaye sasa hawezi ondoka hapo na anakuja kuwa waziri wa maliasili na utalii! Apige mounga vizuriNimezaliwa na kukuwa Arusha.
Hakuna uchochoro wa mji ambao kwakweli siufahamu.
Naona Makonda kama mvamizi tu.
Mji haujui, hajui watu wake, matatizo yake na wala hawezi kuyasemea matatizo ya watu wa Arusha kama vile angewasemea watu wa kule kwao koromije.
Arusha kwake ni kama ngazi ya mafanikio tu kwake.
Hivyo napinga kwa vyovyote vile kumpa nafasi Makonda kugombea Arusha mjini.
Msalimie mwamba Mbowe ..😂😂Nyie ni mabwege
Nimezaliwa na kukuwa Arusha.
Hakuna uchochoro wa mji ambao kwakweli siufahamu.
Naona Makonda kama mvamizi tu.
Mji haujui, hajui watu wake, matatizo yake na wala hawezi kuyasemea matatizo ya watu wa Arusha kama vile angewasemea watu wa kule kwao koromije.
Arusha kwake ni kama ngazi ya mafanikio tu kwake.
Hivyo napinga kwa vyovyote vile kumpa nafasi Makonda kugombea Arusha mjini.
Wengine tuliozaliwa Arusha awamu ya kwanza tunajua mbunge mzawa alikuwa ni mmoja tuu Solomon Ole Saibul wote wengine ni wakuja akiwemo Abdurahman Kinana.Nimezaliwa na kukuwa Arusha.
Hakuna uchochoro wa mji ambao kwakweli siufahamu.
Naona Makonda kama mvamizi tu.
Mji haujui, hajui watu wake, matatizo yake na wala hawezi kuyasemea matatizo ya watu wa Arusha kama vile angewasemea watu wa kule kwao koromije.
Arusha kwake ni kama ngazi ya mafanikio tu kwake.
Hivyo napinga kwa vyovyote vile kumpa nafasi Makonda kugombea Arusha mjini.
Labda mazingira ya Kisiasa yabadilike vinginevyo ndio Mbunge wenu.Nimezaliwa na kukuwa Arusha.
Hakuna uchochoro wa mji ambao kwakweli siufahamu.
Naona Makonda kama mvamizi tu.
Mji haujui, hajui watu wake, matatizo yake na wala hawezi kuyasemea matatizo ya watu wa Arusha kama vile angewasemea watu wa kule kwao koromije.
Arusha kwake ni kama ngazi ya mafanikio tu kwake.
Hivyo napinga kwa vyovyote vile kumpa nafasi Makonda kugombea Arusha mjini.
Uko sahihi mzee. Mimi nimekuta Kinana, Makongoro, Felix, Lema na Gambo. Wote hao sio wazawa wa Arusha. Na hata kama Arusha tukimkataa Makonda ni mwanaCCM gani mzawa anaweza kufaa? Monaban? Nilidhani Meya Max anafaa ila nikagundua kisiasa ni mdogo sana anafaa umeya wake tu. Ndugu Stroke labda atuambie mzawa gani anaweza kuwa mbadala wa mkolomije.Wengine tuliozaliwa Arusha awamu ya kwanza tunajua mbunge mzawa alikuwa ni mmoja tuu Solomon Ole Saibul wote wengine ni wakuja akiwemo Abdurahman Kinana.
kwani toka lini kura zinaheshimiwa?Hatutaki kumuona huyu jamaa hapa.
Hakuna mtu hapa Arusha atampigia kura huyu jamaa.
Hakuna.
Upige kura usipige ,kura zenu hazina kazi yeyote ile wala msaadaHatutaki kumuona huyu jamaa hapa.
Hakuna mtu hapa Arusha atampigia kura huyu jamaa.
Hakuna.
Wewe una chama?Na Samia na Kikwete watasema nini?Chama changu CCM mtatukosea sana kutuletea huyu mtu.
Msimlete.
Makonda hatufai watu wa Arusha. Makonda akagombee kwao Koromije, Ni aibu watu wa Arusha kumchagua huyo Pimbi, hatufai ni muuaji na mtekaji, ana-fake kuwa amesaidia matatizo ya watu.....watu wangapi wamesaidiwa? It is just Media frenzy. Makonda na Sabaya, Jerry Muro, na Albert Chalamila wote ni watekaji na wauaji. Makonda akagombee alikozaliwa....KOROMIJE, nadhani ni wilaya ya Sengerema, hatufai sisi.Make msitake huyo ndiyo mb wenu mfumo na ccm insmtaka
Mpiga kura kumkata lkn ccm/mfumo unamtaka
Mshachaguluwa
Ova
Nyinyi si mnapenda sana matamasha ya kuchoma nyama, mikesha ya mwaka mpya na maonesho ya magari ya landrover, pamoja kuchangamana na wadudu! Huyo ndiyo mbunge wenu sasa kutoka koromije.Nimezaliwa na kukuwa Arusha.
Hakuna uchochoro wa mji ambao kwakweli siufahamu.
Naona Makonda kama mvamizi tu.
Mji haujui, hajui watu wake, matatizo yake na wala hawezi kuyasemea matatizo ya watu wa Arusha kama vile angewasemea watu wa kule kwao koromije.
Arusha kwake ni kama ngazi ya mafanikio tu kwake.
Hivyo napinga kwa vyovyote vile kumpa nafasi Makonda kugombea Arusha mjini.
Wewe hiyo ni binasfi yako, mtu mmoja Kati ya wanaarusha milNimezaliwa na kukuwa Arusha.
Hakuna uchochoro wa mji ambao kwakweli siufahamu.
Naona Makonda kama mvamizi tu.
Mji haujui, hajui watu wake, matatizo yake na wala hawezi kuyasemea matatizo ya watu wa Arusha kama vile angewasemea watu wa kule kwao koromije.
Arusha kwake ni kama ngazi ya mafanikio tu kwake.
Hivyo napinga kwa vyovyote vile kumpa nafasi Makonda kugombea Arusha mjini.
Mungu shemeji yako, hebu toka hapaHatutaki kumuona huyu jamaa hapa.
Hakuna mtu hapa Arusha atampigia kura huyu jamaa.
Hakuna.
Inakuuma Sana shetaniHatoboi na hatumtaki to hell.
Hiwezi kaa mwaka mmoja ujifanye unajua kila kitu cha chuga.Tamaa mbaya.
Wasipomkata . Tunamkata huku mtaani. Na mjengoni atapaona pachungu.