ANGALIZO: La 3 V/s La 1..nani mshindi?Habarini wakubwa,
Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.
So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.
ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
Acha kumnyanyasa Mkuu..Wangu mimi leo anarudi kwao ni wiki 3 tu tokea aanze kazi, hela niliolipa mpaka kufika kwangu laki 2. Juzi kasema anataka kurudi kwao nikamwambia rudi hakuna tabu ila kwa harama zako mwenyewe. Hawa viumbe Mungu tu anajua yupi mwema yupi hafai tena na mshahara wake laki na kitu.
Lunatic
Hao wa mikoani kuna aliyeko mtwara???Habarini wakubwa,
Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.
So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.
ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
Karibu tukuhudumie kufua na usafi kwa gharama ndogo Sana 0748029623Mimi ni kijana naanza maisha nna chumba kimono ila tatzo lipo kwenye usafi wa chumba na nguo unaniwia vigumu naweza pata huduma ya hao wadada wa kazi
Nb, sehemu ya kulala tutajibana humo humo mpaka pale ntakapokuwa na uwezo wa kukodi nyumba nzma asante
Habarini wakubwa,
Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.
So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.
ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
Yes kuna wa MtwaraHao wa mikoani kuna aliyeko mtwara???
Dada wa kazi za ndaniKuwa specific. Kazi gani?
Leo naletewa wa MTWARA nasikia siyo watulivu ..sijui atadumu?Hao wa mikoani kuna aliyeko mtwara???
Wewe sio dalali lakini unataka upozwe na kitu chochote, acha hizo unganisha hao watzn wapate kazi.Habarini wakubwa,
Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.
So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.
ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
Acha udomo zege shubaamit 🤣🤣🤣Mimi ni kijana naanza maisha nna chumba kimono ila tatzo lipo kwenye usafi wa chumba na nguo unaniwia vigumu naweza pata huduma ya hao wadada wa kazi
Nb, sehemu ya kulala tutajibana humo humo mpaka pale ntakapokuwa na uwezo wa kukodi nyumba nzma asante
Mimi ni kijana naanza maisha nna chumba kimono ila tatzo lipo kwenye usafi wa chumba na nguo unaniwia vigumu naweza pata huduma ya hao wadada wa kazi
Nb, sehemu ya kulala tutajibana humo humo mpaka pale ntakapokuwa na uwezo wa kukodi nyumba nzma asante