Habarini wakubwa,
Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.
So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.
ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
Dada wa kazi za ndani
Kuna wanaofaa kwa kazi kwa mwanaume Bachela?Habarini wakubwa,
Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.
So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.
ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
Hahaa, Oya chalii naona unataka mserereko wa mbususu tuMimi ni kijana naanza maisha nna chumba kimono ila tatzo lipo kwenye usafi wa chumba na nguo unaniwia vigumu naweza pata huduma ya hao wadada wa kazi
Nb, sehemu ya kulala tutajibana humo humo mpaka pale ntakapokuwa na uwezo wa kukodi nyumba nzma asante
Acha kumnyanyasa Mkuu..
Mkuu naomba nchekii nna shda nawo 0714244482Habarini wakubwa,
Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.
So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.
ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
Haaaaa nilituma nauli nikaletwa mchawi, ilikuwa kasheshe!Unaweza tuma nauli mara ukaletewa teja
Wewe ni dalali,Habarini wakubwa,
Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.
So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.
ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.