Kwa anayehitaji dada wa kazi anicheki

Lakin Kama mtu huwez kaa na dada wa kaz hata mwez bas ww unatatizo
Unaonekana unawatesa Zama zmebadilika
Jaman achen kuwabeba Kama watumwa
 
Habarini wakubwa,

Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.

So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.

ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.

 
Habarini wakubwa,

Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.

So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.

ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
Kuna wanaofaa kwa kazi kwa mwanaume Bachela?
 
Acha kumnyanyasa Mkuu..

Sijawahipo kunyanyasa mfanya kazi maisha yangu yote nilipo kuwa mdogo kwetu kulikuwa na wafanyakazi 3. Walipunguzwa mpaka alibaki mmoja tu, huyu mmoja alikuwa kama mzee wetu hatu kumuangalia kama mfanyakazi. Sasa huyu wangu mimi alie mleta kwanza kanitapeli wala sijajali ila hata mwezi hakufikisha anataka kuondoka kwanini niharamie mimi tena harama zake. Nje ya makubaliano ya mkataba


Lunatic
 
Habarini wakubwa,

Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.

So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.

ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
Mkuu naomba nchekii nna shda nawo 0714244482
 
Habarini wakubwa,

Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.

So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.

ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
Wewe ni dalali,

Kama siyo dalali kwanini upozwe na kitu ?

Nini maana ya udalali?
 
Back
Top Bottom