Kwa anayehitaji dada wa kazi anicheki

Ruble

JF-Expert Member
Jan 28, 2013
525
846
Habarini wakubwa,

Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.

So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.

ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
 
Wangu mimi leo anarudi kwao ni wiki 3 tu tokea aanze kazi, hela niliolipa mpaka kufika kwangu laki 2. Juzi kasema anataka kurudi kwao nikamwambia rudi hakuna tabu ila kwa harama zako mwenyewe. Hawa viumbe Mungu tu anajua yupi mwema yupi hafai tena na mshahara wake laki na kitu.



Lunatic
 
Habarini wakubwa,

Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.

So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.

ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
ANGALIZO: La 3 V/s La 1..nani mshindi?
 
Wangu mimi leo anarudi kwao ni wiki 3 tu tokea aanze kazi, hela niliolipa mpaka kufika kwangu laki 2. Juzi kasema anataka kurudi kwao nikamwambia rudi hakuna tabu ila kwa harama zako mwenyewe. Hawa viumbe Mungu tu anajua yupi mwema yupi hafai tena na mshahara wake laki na kitu.



Lunatic
Acha kumnyanyasa Mkuu..
 
Mimi ni kijana naanza maisha nna chumba kimono ila tatzo lipo kwenye usafi wa chumba na nguo unaniwia vigumu naweza pata huduma ya hao wadada wa kazi

Nb, sehemu ya kulala tutajibana humo humo mpaka pale ntakapokuwa na uwezo wa kukodi nyumba nzma asante
 
Habarini wakubwa,

Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.

So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.

ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
Hao wa mikoani kuna aliyeko mtwara???
 
Mimi mwenyewe natafuta dada wa kazi,mweupe,mwenye umbo zuri lililonona atapewa kipaumbele.
 
Mimi ni kijana naanza maisha nna chumba kimono ila tatzo lipo kwenye usafi wa chumba na nguo unaniwia vigumu naweza pata huduma ya hao wadada wa kazi

Nb, sehemu ya kulala tutajibana humo humo mpaka pale ntakapokuwa na uwezo wa kukodi nyumba nzma asante
Karibu tukuhudumie kufua na usafi kwa gharama ndogo Sana 0748029623
 
Kuwa specific. Kazi gani?
Habarini wakubwa,

Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.

So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.

ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
 
Habarini wakubwa,

Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine mkoa.

So kama kuna mtu anahitaji anicheki PM nimuunganishe naye/nao.

ANGALIZO: Mimi sio dalali, pili masuala ya kumjua ni jukumu lako mimi ni kuwaunganisha tu, tatu utanipoza chochote kitu jamani wadada shida siku hizi, nne tuwatendee wema watoto wa watu na sio kuwatesa.
Wewe sio dalali lakini unataka upozwe na kitu chochote, acha hizo unganisha hao watzn wapate kazi.
 
Mimi ni kijana naanza maisha nna chumba kimono ila tatzo lipo kwenye usafi wa chumba na nguo unaniwia vigumu naweza pata huduma ya hao wadada wa kazi

Nb, sehemu ya kulala tutajibana humo humo mpaka pale ntakapokuwa na uwezo wa kukodi nyumba nzma asante
Acha udomo zege shubaamit 🤣🤣🤣
 
Mimi ni kijana naanza maisha nna chumba kimono ila tatzo lipo kwenye usafi wa chumba na nguo unaniwia vigumu naweza pata huduma ya hao wadada wa kazi

Nb, sehemu ya kulala tutajibana humo humo mpaka pale ntakapokuwa na uwezo wa kukodi nyumba nzma asante
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom