mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Hivi huyu mkenya aliyegundulika kuwa na corona virus ni mkenya mweusi? Nauliza hivi kwa sababu huko Misri ni wazungu na waarabu tu waliogundulika kuwa na corona virus huku ngozi nyeusi ikipeta! Poleni Jirani zetu na tuombeane huku tukizingatia maelekezo ya viongozi.