Habari wana JF. Kwanza nashukuru sana wana JF wote kwani nmefanikiwa kupata kazi kupitia hapa hapa JF.
But am about to leave my job and go somewhere else.
Ngependa kuuliza kwa yeyote anaye wafahamu vizuri hawa PWC na wanahusika na nini? Mimi nina Degree ya IT. So can I have a chance of working with them kwa taaluma yangu? Na ni kampuni ya kuaminika ama ndo zile kampuni zetu unaanza leo kesho wanasema ukapumzike watakuita.
But am about to leave my job and go somewhere else.
Ngependa kuuliza kwa yeyote anaye wafahamu vizuri hawa PWC na wanahusika na nini? Mimi nina Degree ya IT. So can I have a chance of working with them kwa taaluma yangu? Na ni kampuni ya kuaminika ama ndo zile kampuni zetu unaanza leo kesho wanasema ukapumzike watakuita.