Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
- Thread starter
- #21
wanachokifanya mbezi kama si mwanaccm kukiekewa ni ngumu mnoUnajua hata pale ubungo mataa zamani kabla awajaweka round ya mda mfupi kwa jili ya ujenzi palikuwa na foleni isiyo isha,je kama wangeli gundua toka zamani kuweka round about isingeli kuwepo foleni iliyo tusumbua,mimi nadhani wataalam wetu wangekutana tena wajitathimini.