Kwenu TanRoads: Nitawashangaa Kama Mtashindwa Kujenga Cheap Flyover Kama hii ya Douala Pale Mafiati -Mbeya

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,784
TanRoads wanaendelea na ujenzi wa Barabara ya Njia 4 dual Carriage way Jijini Mbeya.

Nitawashangaa sana kama Watashindwa kujenga cheap flyover kama hii ya hapa Mji wa Douala Cameroon pale Mafiati,Meta na Uyole Junctions Ili Kukabiliana na foleni na kupunguza kutegemea mataa.

Douala Flyover
20230726_181741.jpg


Junction hiyo hapo Juu inafanana sana na pale Mafiati ila Sasa Mainjinia wanaweza kuja na kituko mkabakia mnashangaa.

Mafiati junction
20230519_093831.jpg


Sasa Kwa uzoefu wa dizaini za Ubungo interchange na Kimara Express way sitoshangaa Mainjinia Wetu wakijenga vitu vya ajabu ajabu huku wakisingizia pesa.

Kwa Sasa Kibaha Express way hasa Barabara na madaraja ya Kwenda Magufuli terminal vimelazimika kuongezewa Kwa sababu za poor design za hao Mainjinia..

My Take
Mainjinia wa Tanzania jifunzeni kufikiria maisha ya kesho na keshokutwa na pia muwe mnapenda kujenga vitu vizuri.

Uganda,Kenya nk Interchanges ziko Hadi kwenye Miji midogo ila Tanzania watu wanadhani ni jambo la ufahari.
 
TanRoads wanaendelea na ujenzi wa Barabara ya Njia 4 dual Carriage way Jijini Mbeya.

Nitawashangaa sana kama Watashindwa kujenga cheap flyover kama hii ya hapa Mji wa Douala Cameroon pale Mafiati,Meta na Uyole Junctions Ili Kukabiliana na foleni na kupunguza kutegemea mataa.

Douala Flyover View attachment 2700285

Junction hiyo hapo Juu inafanana sana na pale Mafiati ila Sasa Mainjinia wanaweza kuja na kituko mkabakia mnashangaa.

Mafiati junction View attachment 2700287

Sasa Kwa uzoefu wa dizaini za Ubungo interchange na Kimara Express way sitoshangaa Mainjinia Wetu wakijenga vitu vya ajabu ajabu huku wakisingizia pesa.

Kwa Sasa Kibaha Express way hasa Barabara na madaraja ya Kwenda Magufuli terminal vimelazimika kuongezewa Kwa sababu za poor design za hao Mainjinia..

My Take
Mainjinia wa Tanzania jifunzeni kufikiria maisha ya kesho na keshokutwa na pia muwe mnapenda kujenga vitu vizuri.

Uganda,Kenya nk Interchanges ziko Hadi kwenye Miji midogo ila Tanzania watu wanadhani ni jambo la ufahari.
Mainjia hao unawalaumu tu. Shida ni siasa kuingilia utaalamu. Unakuta kitu hakifai lakini unalazimishwa kujenga.
 
Uyole na mafiati interchange hazikwepeki, ili kutoa uhuru kwa barabara hiyo ambayo inaingiza na kutoa magari mengi pengine kuliko mikoa yote nchini, ni muhimu hilo, ngoja tuone design ya vitu vya ajabu ajabu kama kawaida ya tanroads
 
TanRoads wanaendelea na ujenzi wa Barabara ya Njia 4 dual Carriage way Jijini Mbeya.

Nitawashangaa sana kama Watashindwa kujenga cheap flyover kama hii ya hapa Mji wa Douala Cameroon pale Mafiati,Meta na Uyole Junctions Ili Kukabiliana na foleni na kupunguza kutegemea mataa.

Douala Flyover View attachment 2700285

Junction hiyo hapo Juu inafanana sana na pale Mafiati ila Sasa Mainjinia wanaweza kuja na kituko mkabakia mnashangaa.

Mafiati junction View attachment 2700287

Sasa Kwa uzoefu wa dizaini za Ubungo interchange na Kimara Express way sitoshangaa Mainjinia Wetu wakijenga vitu vya ajabu ajabu huku wakisingizia pesa.

Kwa Sasa Kibaha Express way hasa Barabara na madaraja ya Kwenda Magufuli terminal vimelazimika kuongezewa Kwa sababu za poor design za hao Mainjinia..

My Take
Mainjinia wa Tanzania jifunzeni kufikiria maisha ya kesho na keshokutwa na pia muwe mnapenda kujenga vitu vizuri.

Uganda,Kenya nk Interchanges ziko Hadi kwenye Miji midogo ila Tanzania watu wanadhani ni jambo la ufahari.
Mainjinia Gani hao unaowasema wa bongo? Kama wakipewa kipande tu Cha km1 kujenga baada ya miezi sita kinajaa mashimo, ngozi nyeusi inachoweza ni wizi, uchawa, ngono , unafiki tu basi
 
Toa ujinga hapa, unadhani flyover ni mapambo?
Wewe ndiyo unadhani barabara ikipita juu ni mapambo kumbe ni eyesore inayoharibu mji kimuonekano na kiuchumi. Mji upo vizuri unataka kuuharibu kwa kujenga libarabara la juu. Ni kama walivyoharibu waterfront ya Dar kwa kujenga daraja la baharini.

Mbeya ukitoa malori mjini unakuwa umesolve zaidi ya nusu ya tatizo la foleni.
 
Wewe ndiyo unadhani barabara ikipita juu ni mapambo kumbe ni eyesore inayoharibu mji kimuonekano na kiuchumi. Mji upo vizuri unataka kuuharibu kwa kujenga libarabara la juu. Ni kama walivyoharibu waterfront ya Dar kwa kujenga daraja la baharini.

Mbeya ukitoa malori mjini unakuwa umesolve zaidi ya nusu ya tatizo la foleni.
Akili Yako kama funza,Miji hairudi nyuma.

Wapuuzi kama nyie ndio mumesababisha hasara na kurudia rudia kazi hapo Kimara expresway
 
Mainjinia Gani hao unaowasema wa bongo? Kama wakipewa kipande tu Cha km1 kujenga baada ya miezi sita kinajaa mashimo, ngozi nyeusi inachoweza ni wizi, uchawa, ngono , unafiki tu basi
Harafu wapuuzi Fulani wanasingizia siasa.Majitu hayana uzalendo na incompetent alichokaririshwa ndio hicho hicho hana ubunifu Wala ushawishi.
 
Uyole na mafiati interchange hazikwepeki, ili kutoa uhuru kwa barabara hiyo ambayo inaingiza na kutoa magari mengi pengine kuliko mikoa yote nchini, ni muhimu hilo, ngoja tuone design ya vitu vya ajabu ajabu kama kawaida ya tanroads
Wakiweka hata sehemu Moja uni tag
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Akili Yako kama funza,Miji hairudi nyuma.

Wapuuzi kama nyie ndio mumesababisha hasara na kurudia rudia kazi hapo Kimara expresway
Miji inaachana na hayo mabarabara ya juu yanayochafua mji. Wewe ndiyo unataka kuturudisha nyuma. Ujenge flyover sababu ya mabajaji?!!
 
Back
Top Bottom