Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 4,829
- 7,356
Mpe somo huyo BibiLabda wewe ndiye huelewi maana ya ring road... Huenda unachukulia picha ya ringi la baiskeli na kuwaza kuwa bara bara inatakiwa iwe ya duara kama ringila baiskeli ndio iitwe ring road.
Kwa taaarifa yako, Ring road inaanzia Tegeta- Goba- Mbezi- Kinyerezi...Majumba sita- Pale unavuka barabara unaendelea Kitunda- Kivule- Msongola- Mbagala- Kongowe- Tuangoma-Kigamboni!
Nyingine inachepukia Kifuru- Pugu- Chanika- Mvuti- Msongola- Mbagala