Kuzungusha kupiga game

Lazima wa pretend ili waonekane wa ghali!!

Nothing to pretend,jamani hata wanyama achilia mbali binadamu wanafanya courtship rituals.
Sasa hizi habari za kurefer watu "USED" kwakweli si vizuri,tuwe na respect both ways.
 
That is a fallacy! and a sin!
Yaani wewe thamani ya msichana kwako ni ngono tu??!
Badilisha hiyo tabia...


another fallacy..hasty generalization.

Kama unahamu sana ya kufanya ngono kuna rule moja tu:
OA!
Kama hamu imezidi sana na huwezi jizuia..
subiri..
..au..
fuata rule ya kwanza!
*OMBI:
Msitumalizie wake zetu watrajiwa. Kina dada mlioko huku tafadhali, watu kama Hawa wakwepeni kabisa!!!
Ohh my God, when will this end??!
mzee wa konooooz:D
 
Hivi kuna umuhimu gani kwa wadada kuzungusha kupiga game mara baada ya kutongozwa wakati wote ni (USED) yaani wote mlishawahi kufanya mapenzi.
used ndio yenyewe mkuu,mkikutana hakuna darasa ni perfomance mwanzo mwisho,we huwa unazungushwaga mkuu??labda haulipi,wengine ni touch and paste hayo mambo kuzungushana ya kizamani.
 
Ndo maana siku ya kuipata unatandika kwelikweli kulipizia machungu ya kuzungushwa
 
Yaani kila unaemuomba unataka akupatie umchezee....Unatafauti gani na jogoo ?
 
God bless you COMPAQ - endelea kukemea maovu yanayofanywa hata kwa maneno ya mtu. Mara nyingi sana kitu kiujazacho moyo wa mwanadamu ndicho kimtokacho mdomoni mwke.
Imefika wakati moderators kuangalia issue za kujadili - Ngono itasaidia nini katika maisha ya mwanadamu?? Tendo la Ndoa ni kitu cha heshima sana kati ya mume na mke - wengine wanaona ndio maendeleo - bahati mbaya sana.
Tujadili zaidi jinsi ya kuwasaidia watu waepukane na hizi ngono zembe, unyanyasaji wa kijinsia na kuongelea vibaya wanawake - they are our mothers - sisters - anties - wives etc. - tusiwaone kama items/things/vessels - .... whatever .......
Nawasilisha
!
U r damn right about that thing in red ila mimi kinachoniudhi ni tabia ya baadhi ya wanawake wenyewe ambao kwa kweli wanaturudisha nyuma sana katika hii vita ya kumtoa mwanamke kwenye hadhi ya bidhaa kwenda kwenye hadhi ya utu. Unajua kuna vitu vingi sana vinaendelea ambavyo vinamfanya mwanamke aonekane kama bidhaa, We hebu jiulize kama linalotangazwa ni gari kuna haja gani ya kuwa na msichana aliye nusu uchi pembeni yake.....Tafakari.
 
m.mke sharti aringie mali yake babu weeeee! we unataka kirahisi rahisi tu? sharti ukisotee kwanza ndiyo ujue utamu wake.....
Nimekugongea senski mzee. Njoo ugombee udiwani kwenye kata yetu lazma nikupigie debe wewe.
 
Kaka "tamu ya bazoka mate yako" na "raha ya goli ni chenga" mkulu, je unataka upige goli bila kupiga chenga hutaona utamu wake.Ila take care kwani "Majuto ni mjukuu, huja baada ya kitendo".
 
Hivi kuna umuhimu gani kwa wadada kuzungusha kupiga game mara baada ya kutongozwa wakati wote ni (USED) yaani wote mlishawahi kufanya mapenzi.

Wewe mwenyewe ni used unataka brand new kwanini?.... HAO wanaokuzungusha hawataki used wanasubiri new.
 
Hivi kuna umuhimu gani kwa wadada kuzungusha kupiga game mara baada ya kutongozwa wakati wote ni (USED) yaani wote mlishawahi kufanya mapenzi.

Inaelekea huthamini wanawake, kwako wewe ni chombo cha starehe tu.
 
Back
Top Bottom