Kuzuia wimbo wa chura, ni kuzuia uhuru wa wananchi, ni uonevu na Unyanyasaji

Free Chura
1462466465668.jpg
 
Wewe kwa akili zako huoni ule ni uvunjifu wa maadili?
Hata hivyo hatufanani,wanaoutetea huo wimbo wanajulikana ni watu wa aina gani.
Ila binafsi naunga mkono,upigwe marufuku.

Hata mimi siwashangai!!hawa ni wale toka uswazi huko wanacheza na mama zao wanao jisasambua.
 
Ninajiuliza suala la kupinga huu wimbo wa chura ni kuzuia uhuru wa wananchi kufanya wanachotaka au ni kuvuka mipaka ya uhuru uliopo kikatiba. Tukiwaacha hawa na wafanyao, tutaathirika vipi? Hiyo ndio kazi ya rasilimali chache tulizonazo? Kwa msio ufaham wimbo huo fikeni YouTube unaitwa chura. Nchi hii wananchi wake wanapenda sifa
kweli mkuu wamefungia bunge wamefungia na vyura wetu tusiwaone. salaale
 
Yaani tangu wimbo wa chura kila tukikatiza ni tunaitwa churaaa.. churaa...
 
Hiyo video ya wimbo huo ni hovyo kabisa na haifai kuangaliwa na watu wasitaarabu, ni ya kipuuzi na haitakiwi, imejaa maudhui yanayodhalilisha utu na kutangaza umalaya
 
Wimbo wa Chura.... Na akili za wanawake



Ile video ya wimbo wa Chura unaonyesha ni Jinsi gani wanawake walivyo na akili ndogo.



Wanawake wanakubali kudhalilishwa kisha wanasema wanataka haki Sawa........ Haki sawa gani bila ya kujidhamini???


Wanawake watapatiwa haki sawa baada ya kujielewa na kujidhamini....
 
Wewe kwa akili zako huoni ule ni uvunjifu wa maadili?
Hata hivyo hatufanani,wanaoutetea huo wimbo wanajulikana ni watu wa aina gani.
Ila binafsi naunga mkono,upigwe marufuku.
safi sana nifah I can see ur integrity clearly in here.Siku hizi kazi za sanaa ndio zimekua "masomo ya maisha" yanayoonekana katika movies na yanayoimbwa ktk music au yanayofanywa na wasanii yana impact kubwa sana ktk jamii kwa sasa.Tupinge issue zinazoharibu jamii.
 
Naunga mkono kabisa huu wimbo kupigwa marufuku kuonyeshwa kwenye TV huko Youtube na kwingineko wanaoupenda wakauangalie huko...Nyimbo gani ile sasa umekaa na watoto wako wakike then lintokea linyimbo kama hilo kwenye TV aibu kabisa....
Well said achana na wanywa viroba wanaounga mkono
 
KWANI maadili yanatoka mbali?,Maadili mtu huishi nayo.Ni kama nguo ya ndani,si rahisi kumtambua mtu asiyevaa nguo ya ndani,labda nguo ichanike au akae vibaya.MAADILI ni kama nguo ya ndani,mtu anaweza kuvaa au kutokuvaa
 
Kama wakina mama wao wenyewe wameamua bila kulazimishwa kutuonyesha jinsi walivyo na makalio mazuri na jinsi wanavyoyachezesha vizuri kwa lengo la kutuburudisha sisi wanaume kuna ubaya gani?, waendelee kutupa uhondo huo na mimi nitanunua huo mkanda
mkuu ukiupata uweke kwenye bandiko, sijawahi uona, nimekosa uhondo aisee!
sasa nikiuweka mlio wa simu nalo ni kosa?
 
Ila nanyi muwe mnafikiri kidogo kwahiyo video nzima kuonyesha makalio yanacheza.... halafu baada ya hapo lengo liwe nn hasa ewe mtz
 
Meta uzi sikubaliani na wewe. Je huo wimbo uki we kwa na luninga utaangalia wewe na mzazi wako? Au na wanao ? Wacha hiyo. Tena alistahili apelekwe mahakamani afungwe!!!
 
KWANI maadili yanatoka mbali?,Maadili mtu huishi nayo.Ni kama nguo ya ndani,si rahisi kumtambua mtu asiyevaa nguo ya ndani,labda nguo ichanike au akae vibaya.MAADILI ni kama nguo ya ndani,mtu anaweza kuvaa au kutokuvaa
 
KWANI maadili yanatoka mbali?,Maadili mtu huishi nayo.Ni kama nguo ya ndani,si rahisi kumtambua mtu asiyevaa nguo ya ndani,labda nguo ichanike au akae vibaya.MAADILI ni kama nguo ya ndani,mtu anaweza kuvaa au kutokuvaa
 
Back
Top Bottom