Kuzuia wimbo wa chura, ni kuzuia uhuru wa wananchi, ni uonevu na Unyanyasaji

Wimbo wa Chura.... Na akili za wanawake



Ile video ya wimbo wa Chura unaonyesha ni Jinsi gani wanawake walivyo na akili ndogo.



Wanawake wanakubali kudhalilishwa kisha wanasema wanataka haki Sawa........ Haki sawa gani bila ya kujidhamini???


Wanawake watapatiwa haki sawa baada ya kujielewa na kujidhamini....
Utukome sio kila mwanamke ana akili km Snura mushi ama Shishi be be.... Usituunge kwenye hili Kundi la huyu kahaba
 
Wimbo wa Chura.... Na akili za wanawake



Ile video ya wimbo wa Chura unaonyesha ni Jinsi gani wanawake walivyo na akili ndogo.



Wanawake wanakubali kudhalilishwa kisha wanasema wanataka haki Sawa........ Haki sawa gani bila ya kujidhamini???


Wanawake watapatiwa haki sawa baada ya kujielewa na kujidhamini....
Dhamini=thamini samahani lakini
 
Mimi niko nje ya nchi, na enjoy tu hii chura video, views zinaongezeka mara dufu aise.

Cheza kibobmarley ;)
 
Naskia chura wa snura anapiga mpaka pasi?
mi naona arudishwe., Au nyimbo Za Kina Beyoncé nazo zifungiwe basi Manake zina maadili mazuri Kwa ulaya na sio kwetu.

Viva chura
 
  • Thanks
Reactions: M18
Basata wamemfanya chura akawa maarufu sana.

Viva Chura wa SNURA ANTONY MUSHI. Viva
 
Chura ndio dawa chura anaenda hadi baharini
Chura kaend kuoga maji ya chumvi apunguz upele na mabaka


Ila pale kuna chura moja wanaliiita komando lipo vizuri hilo lina kama kinguo cha kijana mpauko kwa juuuuuu
 
Vyema sana ufutwe,

Kwa Jinsi Video Yake Ilivyo Ingeshangaza kama Serikali Ingekaa kimya.
Hatukatai kuufuta,ila nikwambie tu kuufuta au kuzuia wimbo wa chura ni sawa na mtu anayekimbizwa kwa wizi kisha akaamua kuziba sura kwa mikono au kujificha nyuma ya baiskel akijiaminisha hakuna atakayemuona wala kumtambua.Chura wamejaa mitaani na watu wanawaona LIVE,serikal bado haijazungumzia
 
Ninajiuliza suala la kupinga huu wimbo wa chura ni kuzuia uhuru wa wananchi kufanya wanachotaka au ni kuvuka mipaka ya uhuru uliopo kikatiba. Tukiwaacha hawa na wafanyao, tutaathirika vipi? Hiyo ndio kazi ya rasilimali chache tulizonazo? Kwa msio ufaham wimbo huo fikeni YouTube unaitwa chura. Nchi hii wananchi wake wanapenda sifa
Kwa ufahamu wako ,uhuru wa kufanya unachotaka hauna mipaka ee. Msituharibie nchi
 
Huyu dada hana wanao msemea huko kwao sijui?Asiyefunzwa na mamaye............ BASATA tumbueni hilo mama la mavyura
 
Back
Top Bottom