Kuzolota kwa D9 kumeniacha na msongo wa mawazo

Kuzolota kwa D9 kumeniacha na msongo wa mawazo

Mpaka sasa nahisi dishi langu limeyumba na Chanel hazisomi kabisaa wanawane..

Tangu October 29 na sasa D9 Hadi Leo nimekua nikikesha na kubugia pombe nakunyandua singo mazasi . kwa kifupi nimekua zezeta kama Lucas Mwashambwa .Yaan kila nikiwaza miaka mingine mitano ijayo chini ya mfalme juha na Genge lake , nachoka Mimi mwehu!

View attachment 3514353
Sisi Tutaendelea na maandamano
 
Mpaka sasa nahisi dishi langu limeyumba na Chanel hazisomi kabisaa wanawane..

Tangu October 29 na sasa D9 Hadi Leo nimekua nikikesha na kubugia pombe nakunyandua singo mazasi . kwa kifupi nimekua zezeta kama Lucas Mwashambwa .Yaan kila nikiwaza miaka mingine mitano ijayo chini ya mfalme juha na Genge lake , nachoka Mimi mwehu!

View attachment 3514353
Ndio nyinyi mafisi dayaspora,
hio picha kwa aliezunguka dunia moja kwa moja anajua hapo ulipo sio bongo
Mnachochea watoto wa masikini wakauliwe kwa kuwatuma wakaandamane wakati nyinyi mnafyoza vikali na kuperuzi mintandao mkiwa kwenye vimaisha vyenu vya kitumwa huko ughaibuni bila kuathirika chochote
 
Back
Top Bottom