Kuzini nje ya ndoa , ni kwa wale tu walioko kwenye ndoa na kuamua kufanya zinaa.
Hakuna kitu kuzini ndani ya ndoa, kwa maana ya mume na mke kufanya jimahi.
Zinaaa nyingine ni kwa wale ambao bado kuoa/kuolewa au kuingia kwenye fungate ya ndoa, hawa wanaitwa wazinifu tu, ila ahisemwi kuwa ni nje ya ndoa.