Kuzidi kuchelewa kwa Dreva wa Tundu Lissu kuitikia wito wa RPC Muroto unaleta ukakasi!!!

Zaidi ya miezj miwili si Lisu wala dereva wake aliehojiwa wala kuandikisha statement ya tukio, lakini chama chake kinathubutu kwenda bungeni kudai polisi haifanyi uchunguzi. Hivi imeshawahi kutokea shahidi wa tukio la uhalifu akahojiwa nje ya nchi. Hata huko Marekani mtu akikimbilia Mexico FBI wanabwaga manyanga. Tatizo kuna watu wanaongoza nyumbu wameanza kujisahau wanafikiri nchi nzima ni nyumbu watupu.
Umeeleweka.
 
Tuchukulie polisi inawajua waliompiga risasi Lisu. Itawapeleka Nairobi wakatambuliwe na Lisu na dereva wake? Kuna aliyewahi kupandishwa kizimbani kujibu kesi ya mfungua mashtaka aliye nje ya nchi?
 
Si ndio kazuia sasa kote.

Kwanini usijadili hali iliyopo sasa ukaachana na INGEKUWA?
Mbona upelelezi ,ni mpana sana,kwa wale polisi waliokuwa analinda kwa naibu spika mbona hajashikiliwa kusaidia upelelezi?pia pale getini kulikuwa na walinzi waliofungulia gari hiyo kuingia ja kutoka ,mbona hawajashikiliwa na kuhojiwa?
 
Yametofautiana vipi? Jee wale waliouawa huko haikuwa sababu za kisiasa? hawakuuawa kwa makusudi? au kwa vile ni wandengereko ndiyo maana mauaji yao [wengi] wangine wetu tumeshindwa hata kutoa pole? Ndugu zangu, sisemi haya kwa sababu za kisiasa lakini zile ni roho ambazo hazikuwa na hatia[pengine kosa lao ni kuwa na vyeo ingawa ni vidogo sana [vya serikali pamoja na chama tawala] Hebu tuondoe boriti tunapozungumzia haya kwani kesho inawezekana ikawa kwetu pia.
........Mkuu, kwani mtu akiwa Mndengereko ndo anatakiwa auawe?

Inawezekana hujaelewa au umeamua makusudi kutoelewa ili uandike ulichoandika.

Una uhakika kuwa Mauaji ya Kibiti na Rufiji ni ya Kisiasa? Askari na Watu wa Maliasili waliouliwa ni wafuasi wa Chama gani?

Hata siku moja siwezi kufurahia au kushabikia fujo, mauaji au vurugu za aina yoyote ziwe kwa sababu ya Kisiasa, dini, Kikabila n.k.

Waliouwa watu Kibiti na Rufiji pamoja na waliomshambulia Lissu, wote hawana haki ya kufanya hivyo. Lakini pia, huwezi kusema kuwa wasiotoa pole maana yake wamefurahia mauaji yaliyotokea. Kwani kuna sehemu maalumu ambayo mtu anatakiwa akatoe pole pale jambo linapotokea ili wengine wajue kuwa fulani kaguswa na tukio?

Siasa za chuki na visasi sio nzuri kwa ustawi na Raia na Nchi kwa ujumla.
 
Kama chadema wasingemficha Dereva upelelezi wa shambulio la LISU ungekuwa umekamilika kwa 90%.

Lakini kitendo cha cha Mbowe Kumficha Dereva na kuendeleza siasa juu ya matukio ya namna hii hatuwezi kukamilisha upelelezi kwa wakati.

Mwanzo wametangaza LISU anawajuwa waliomshambulia, anasubiri apate nafuu aje kuwataja. Jana BUNGENI MBOWE anasema tuwaite SCOTLAND YARD waje kufanya upelelezi UPI.

KAMA MTAENDELEA KUMFICHA DEREVA hata waje FBI au Scotland Yard upelelezi hauwezi kukamilika.

*Wazalendo tunamtaka DEREVA*
Vinginevyo kaeni kimya.
Watoe matokeo ya Ben ili kuonyesha dhamira na ukweli,vinginevyo in kichaka cha kujificha walichochonga.
 
Mbona upelelezi ,ni mpana sana,kwa wale polisi waliokuwa analinda kwa naibu spika mbona hajashikiliwa kusaidia upelelezi?pia pale getini kulikuwa na walinzi waliofungulia gari hiyo kuingia ja kutoka ,mbona hawajashikiliwa na kuhojiwa?
Kwahiyo unawapangia polisi kazi yao?
 
Acheni kuwashwawashwa mik*********yenu ccm ruhusuni Scott yards wafanye kz muone mnavoumbuka pumbav zenu
 
Kama chadema wasingemficha Dereva upelelezi wa shambulio la LISU ungekuwa umekamilika kwa 90%.

Lakini kitendo cha cha Mbowe Kumficha Dereva na kuendeleza siasa juu ya matukio ya namna hii hatuwezi kukamilisha upelelezi kwa wakati.

Mwanzo wametangaza LISU anawajuwa waliomshambulia, anasubiri apate nafuu aje kuwataja. Jana BUNGENI MBOWE anasema tuwaite SCOTLAND YARD waje kufanya upelelezi UPI.

KAMA MTAENDELEA KUMFICHA DEREVA hata waje FBI au Scotland Yard upelelezi hauwezi kukamilika.

*Wazalendo tunamtaka DEREVA*
Vinginevyo kaeni kimya.
mnataka kumpeleka kwenye majumba ya ununio kule mkabinye pu... u zake? Haki ng'ooo
 
Ukitukanwa utalalamika mkuu...hivi kwa nn msikate mzizi wa fitna..fbi au Scotland yard..kwa ni serikali inakataa waje kama unadhani hao hapo juu wanahusika?ukichaa sio lazima utembee uchi!


Mbona serikali haijakataa ujio wa FBI na Scotlandyard?
 
........Mkuu, kwani mtu akiwa Mndengereko ndo anatakiwa auawe?

Inawezekana hujaelewa au umeamua makusudi kutoelewa ili uandike ulichoandika.

Una uhakika kuwa Mauaji ya Kibiti na Rufiji ni ya Kisiasa? Askari na Watu wa Maliasili waliouliwa ni wafuasi wa Chama gani?

Hata siku moja siwezi kufurahia au kushabikia fujo, mauaji au vurugu za aina yoyote ziwe kwa sababu ya Kisiasa, dini, Kikabila n.k.

Waliouwa watu Kibiti na Rufiji pamoja na waliomshambulia Lissu, wote hawana haki ya kufanya hivyo. Lakini pia, huwezi kusema kuwa wasiotoa pole maana yake wamefurahia mauaji yaliyotokea. Kwani kuna sehemu maalumu ambayo mtu anatakiwa akatoe pole pale jambo linapotokea ili wengine wajue kuwa fulani kaguswa na tukio?

Siasa za chuki na visasi sio nzuri kwa ustawi na Raia na Nchi kwa ujumla.
Kwa nini wengi humu mnasema kuwa jaribio dhidi Mh. TL ni lakisisasa[mnaamini kuwa SMT inahusika]
Kwakibiti almost 95% ya waliouawa ni aidha viongozi wa chama tawala au serikali inayoundwa na chama tawala[sidhani kama SMT inaweza kuua watu wake kwa sababu za kisiasa kwani ingekuwa hivyo, wangeuawa wengi tu .
Tuache jazba and let us think and analyse issues rationally.au ndiyo kama wasanifu wa lugha wasemavyo kuwa mkuki unauma unapomchoma binadamu tu kwa viumbe wengine ni kawaida??????
 
Zaidi ya miezj miwili si Lisu wala dereva wake aliehojiwa wala kuandikisha statement ya tukio, lakini chama chake kinathubutu kwenda bungeni kudai polisi haifanyi uchunguzi. Hivi imeshawahi kutokea shahidi wa tukio la uhalifu akahojiwa nje ya nchi. Hata huko Marekani mtu akikimbilia Mexico FBI wanabwaga manyanga. Tatizo kuna watu wanaongoza nyumbu wameanza kujisahau wanafikiri nchi nzima ni nyumbu watupu.
Princemwalejr i salute you sir
 
Ni siku kadhaa Sasa toka tangazo la RPC Muroto atoe wito kwa Dreva wa Tundu Lissu Ndugu Simon kuripoti Polisi kwa mahojiano kufuatia shambulio na watu wasiojulikana kwa Mbunge Tundu Lissu tarehe 7 September huko Dodoma saa saba mchana maeneo ya Area D.

Toka tangazo litoke Dreva huyo yuko Nairobi kwa matibabu ya kisaikolojia kufuatia tukio hilo la kuogofya.

Ukimwa wa kutorudi nyumbani na kutoripoti Polisi unaleta ukakasi Katika duru za kichambuzi kwamba ni kweli tu anahofia usalama wake au Kuna jambo lingine nyuma ya pazia?

Wengi wanajiuliza kwanini aliweza kutoa mzima yeye na kumwacha Tundu Lissu akimiminiwa Risasi?

Na Katika Maelezo yake yanayosambaa kupitia Mwanahalisi dreva huyo anasema aliiona silaha aina ya SMG ndani ya hiyo gari mtu mmoja mhalifu alipofungua milango na kushuka!!!
Watu wa Lumumba bwana na wao akili zao kama Polisi wetu...hivi kati ya Dereva wa Lisu na walinzi wa Makazi ya Wabunge alipokuwa anaishi...waliowaruhusu wauaji kufanya kazi yao nani wakuhojiwa kwanza? ...
 
Faili limefungwa awahi kufanya nini, wauaji wanajulikana msijisahulishe, nyinyi ni wauaji, kwani dereva wa lisu pia alikuwa siku ya kupigwa lisasi aqwilina.
 
Back
Top Bottom