Kuna mtafiti mmoja alisema, kuzaa watoto wengi intokana na ugum wa maisha kwani, msongo wa mawazo na vp tutakula humsababisha mke au mme awe na mawazo mengi, so the only way ya kupunguza mawazo huwa na kujamiina bila mpangilio na kila wakati kustarehe ili mawazo yapungue! Hii ni kweli nadhani!!!!!!!!!!!