Kuzaa na mwanamke nje ya ndoa

Kuzaa na mwanamke nje ya ndoa

Kuzaa nje ya ndoa ni jau, hutawapa watoto treatment iliyo sawa na mwisho wa siku utalaumiwa tuu.

Mtoto sio nguo, ukizaa nje hata uhudumie vipi mtoto atakuja kujua hakuwa kipaumbele kwako. Hatakuja kukupa treatment ya usawa pia huko badae.

Mtoto wa nje, lazima kuna kunung'unika flani, hata wenzie watamtenga tuu kiaina hata ufanyaje.

Kuna trauma kwa mtoto na mama yake. 😊
 
Ni imani zao tu mtoto ni mtoto hata uzae nje ya ndoa
 
Back
Top Bottom