Mimi ni kijana , 25 yrs old . Unmarried
Nimekuwa nikisikia mara kadhaa kwa mabro na kwenye forums za kijamii kuwa kati ya makosa makubwa unaweza kuyafanya kama mwanaume ni kuzaa na mwanamke ambaye huna mpango wa kumuoa, yaani kufanya coparenting.
Iwapo nina kipato kinachoniwezesha kutoa mahitaji yoote kwa mtoto bila wasiwasi na mama wa mtoto ana kipato kikubwa cha kujitosheleza, what could be worse ?
Nimekuwa nikisikia mara kadhaa kwa mabro na kwenye forums za kijamii kuwa kati ya makosa makubwa unaweza kuyafanya kama mwanaume ni kuzaa na mwanamke ambaye huna mpango wa kumuoa, yaani kufanya coparenting.
Iwapo nina kipato kinachoniwezesha kutoa mahitaji yoote kwa mtoto bila wasiwasi na mama wa mtoto ana kipato kikubwa cha kujitosheleza, what could be worse ?