Kuweni macho na mdada huyu

Kuweni macho na mdada huyu

Wacha awatafunie vi senti vyenu, mkiombwa pesa ya kula unatoa machooo Kama mjusi kabanwa na mlango, kwa kumpa mdada aaaaaa wala hufikiri Mara 2 tena unatoa huku unauliza vp imeingiaa? Manake sijapata SMS huku.. Walie binti vipesa vyao.......
 
Kwenye mitandao ya kuchat kama Badoo, Hi5 au Twoo kuna mdada mmoja anajiita Sabrina. Yeye anadai ni mwenyeji wa Kondoa. Huwa anatoa namba yake ya simu kwa kila anayechat naye. Lakini anaomba atumiwe nauli ili waweze kuonana. Uchunguzi unaonesha kuwa dada huyu sio tu anajiuza lakini pia anatumia chating kujipatia pesa. Ni mzuri, anavutia kweli. Hutumia namba ya simu. 0654097850. Kuweni makini!
Kwa hiyo umeshaliwa? huyo alikuwa mtu wako sasa mmekosana umeanza kumchafua au unampa promo huyo changu!
 
Kwenye mitandao ya kuchat kama Badoo, Hi5 au Twoo kuna mdada mmoja anajiita Sabrina. Yeye anadai ni mwenyeji wa Kondoa. Huwa anatoa namba yake ya simu kwa kila anayechat naye. Lakini anaomba atumiwe nauli ili waweze kuonana. Uchunguzi unaonesha kuwa dada huyu sio tu anajiuza lakini pia anatumia chating kujipatia pesa. Ni mzuri, anavutia kweli. Hutumia namba ya simu. 0654097850. Kuweni makini!

She's gorgeous!
 
Mi nikipenda mtu nionane nae kama tupo sehemu moja tutaonana kama upo mbali basi hata kuonana kwa picha inatosha wala nikuombe hela ya nin??
Kufahamiana popote ila iwe kwa nia njema
Mfano mie kuna watu na hamu hata niwaone kwa picha tu na ni wawili tu siri yangu kwa nia njema kabisaa,sio kuombana pesa
Labda unitake lakin kama hayo hayapo pesa atakupa akijisikia kama rafiki
Ni hayo tu

Twende PM ukanitumie picha yako.
 
Mpaka hili tangazo linatoka, hapo wanaume wameshatumaaaaaa nauli weeee....kama hawana akili nzuri. Na yawakute...
 
Pole mkuu nawe bila shaka ni victim wa jambo hilo.
Siku nyingine jifunze kuwa kamba ya mbali haifungi kuni na fimbo ya mbali vile vile haiuwi nyoka.
 
Namba yangu ya zamani hiyo, na niliiachaga kwa kuwa nilikuwa napokea simu za kudai nirudishe vya watu.
 
Mkome kabisa hivi si ujinga kuchat na mtu ambaye humjui akiwa zombi au jini
ukipenda kuchat na mtu usiyemjua ni sawa na kuongea na mtu huku humjui wakati unasikia tu siku akija na panga ukauliwa usilaumu huu ni ulimbukeni tu
kuna mengine majini yanatafuta mtu wa kutoa kafara
mengine ni machuma ulete
hahaha mfano kama ww jaman na iyo ID plus Avater mie hoiii naogopa mpaka kureply ucje nitokea kwenye screen ya simu
 
Kumbe anaomba atumiwe nauli,nanyi mnatuma kwa hiyari yenu! Sioni tatizo hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom