Ndo hivyo wanaume si tunachenguka na shape za kwenye picha tuUtakuta ni tapeli moja la kiume, linabandika picha inayowazuzua wapenda uzinzi.
Kwa hiyo umeshaliwa? huyo alikuwa mtu wako sasa mmekosana umeanza kumchafua au unampa promo huyo changu!Kwenye mitandao ya kuchat kama Badoo, Hi5 au Twoo kuna mdada mmoja anajiita Sabrina. Yeye anadai ni mwenyeji wa Kondoa. Huwa anatoa namba yake ya simu kwa kila anayechat naye. Lakini anaomba atumiwe nauli ili waweze kuonana. Uchunguzi unaonesha kuwa dada huyu sio tu anajiuza lakini pia anatumia chating kujipatia pesa. Ni mzuri, anavutia kweli. Hutumia namba ya simu. 0654097850. Kuweni makini!
wajinga ndio waliwao
Hii namba ya nchi gani?
Kwenye mitandao ya kuchat kama Badoo, Hi5 au Twoo kuna mdada mmoja anajiita Sabrina. Yeye anadai ni mwenyeji wa Kondoa. Huwa anatoa namba yake ya simu kwa kila anayechat naye. Lakini anaomba atumiwe nauli ili waweze kuonana. Uchunguzi unaonesha kuwa dada huyu sio tu anajiuza lakini pia anatumia chating kujipatia pesa. Ni mzuri, anavutia kweli. Hutumia namba ya simu. 0654097850. Kuweni makini!
Mi nikipenda mtu nionane nae kama tupo sehemu moja tutaonana kama upo mbali basi hata kuonana kwa picha inatosha wala nikuombe hela ya nin??
Kufahamiana popote ila iwe kwa nia njema
Mfano mie kuna watu na hamu hata niwaone kwa picha tu na ni wawili tu siri yangu kwa nia njema kabisaa,sio kuombana pesa
Labda unitake lakin kama hayo hayapo pesa atakupa akijisikia kama rafiki
Ni hayo tu
Asifie aaamvua imemnyeshea
Hii namba ya nchi gani?
Twende PM ukanitumie picha yako.
Mtoto mashaallah!
wajinga ndio waliwao
hahaha mfano kama ww jaman na iyo ID plus Avater mie hoiii naogopa mpaka kureply ucje nitokea kwenye screen ya simuMkome kabisa hivi si ujinga kuchat na mtu ambaye humjui akiwa zombi au jini
ukipenda kuchat na mtu usiyemjua ni sawa na kuongea na mtu huku humjui wakati unasikia tu siku akija na panga ukauliwa usilaumu huu ni ulimbukeni tu
kuna mengine majini yanatafuta mtu wa kutoa kafara
mengine ni machuma ulete
Twende PM ukanitumie picha yako.
yes bby. yaani ushamsahau?