Sista
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,208
- 1,038
Ngoja nimtafute binti analipa,akiomba nauli namwambia namfuata mi mwenyewe.
yereuwiiiii umezidi ubahiri
Ngoja nimtafute binti analipa,akiomba nauli namwambia namfuata mi mwenyewe.
Mkuu vipi na wewe umeliwa nini?
msogezee kapuya haone moto wake kwani hatatoka na m/benzi au mpe namber ya kapuya 0755993930 atatumiwa m-pesa au dereva wa kapuya simu0767570402 au meneja akudo simu 0764888840 hatampata kapuya amsugulikie
Umeona eeeh...
Wa kuwekwa ndani hasa akatunzwa.....
kabisa mie ningekua wa kiume,ningemweka ndani huyo mtoto..
wakoKwenye mitandao ya kuchat kama Badoo, Hi5 au Twoo kuna mdada mmoja anajiita Sabrina. Yeye anadai ni mwenyeji wa Kondoa. Huwa anatoa namba yake ya simu kwa kila anayechat naye. Lakini anaomba atumiwe nauli ili waweze kuonana. Uchunguzi unaonesha kuwa dada huyu sio tu anajiuza lakini pia anatumia chating kujipatia pesa. Ni mzuri, anavutia kweli. Hutumia namba ya simu. 0654097850. Kuweni makini!
amedangaya sana watu na stori za uongosio ubahili,hawa mabebs wa mtandaoni walishaniliza mahela kwa style hiyo.na ukishatuma tu pesa ndo kwaheri,anakublock.yereuwiiiii umezidi ubahiri
sio ubahili,hawa mabebs wa mtandaoni walishaniliza mahela kwa style hiyo.na ukishatuma tu pesa ndo kwaheri,anakublock.
Ngoja nimtafute binti analipa,akiomba nauli namwambia namfuata mi mwenyewe.