Kuweni macho na mdada huyu

Kuweni macho na mdada huyu

Na kila mbuzi na ale kwa kutegemea urefu wa kamba yake!
 
Hii mitandao ya kijamii haijatulia hata mara moja. Wazinzi kuweni makini.
 
twendeni mbele na kurudi nyuma huyu msichana mzuri acheni utani yaani akinitapeli mm naridhika kabisa!!!
 
Looh!!! Kweli huyu binti kiboko, nimecheck naye mda siyo mrefu.
 
huo utapeli niliwai kuufanya na nilikupa na uhakika wa kupata si chini ya million 10 kwa mwez. wanaume wakware na wajinga walikuwa wanatuma pesa ya ndege hawajui wanachat na kidume
 
Amekamata "fursa" huyo.. nawapenda watu wabunifu kama huyu.
 
huo utapeli niliwai kuufanya na nilikupa na uhakika wa kupata si chini ya million 10 kwa mwez. wanaume wakware na wajinga walikuwa wanatuma pesa ya ndege hawajui wanachat na kidume

Hahahaaah!! Sasa kwa nini uliachana nao huo utapeli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom