mabereng'ombe
Member
- Nov 22, 2013
- 70
- 18
Kwenye mitandao ya kuchat kama Badoo, Hi5 au Twoo kuna mdada mmoja anajiita Sabrina. Yeye anadai ni mwenyeji wa Kondoa. Huwa anatoa namba yake ya simu kwa kila anayechat naye. Lakini anaomba atumiwe nauli ili waweze kuonana. Uchunguzi unaonesha kuwa dada huyu sio tu anajiuza lakini pia anatumia chating kujipatia pesa. Ni mzuri, anavutia kweli. Hutumia namba ya simu. 0654097850. Kuweni makini!