Kuwekwa kwenye chupa maana yake nini?

Kuwekwa kwenye chupa maana yake nini?

JOYSTICK

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2014
Posts
221
Reaction score
57
Nimepata kadada fulani huku kapare.Muislam mimi mkristo.Kaslim body nini,sasa nikamakribisha geto akaja nikaanza kukachezea na vitu vingine vikaendelea.Akarudi kwao. Jioni jana tukawa tunachat na katika chatting na nini akawa anaonyesha kwa jinsi alivochizika na mimi then akanambia kitu kilichonistua kidogo akanambia kuwa ataniweka kwenye chupa.Then akaniambia anaweza nifanya nisiende kazini na hata boss wangu nikwamwita jina lake yani nimwite bosi wangu wa kiume jina la huyo binti (Sijui anataka nifukuzwe kazi)

Leo tumeonana kama lisaa hivi now nimerudi ofisini.Baada ya gemu, leo amenambia kuwa anataka anipikie chakula aniletee lakini nisihofu hataniwekea libwata,baada ya kusema hivo nkamuuliza kwani ana mpango huo.Akanambia nisiwe na wasi hana mpango huo.Nikamuuliza kuhusu swala la kuniweka kwenye chupa akasema maana yake ni kunipa mapenzi kwa kwenda mbele.
Lakini bado kichwa kinaniuma kuhusu haya mambo mawili;Je maana halisi ya kuwekwa kwenye chupa ni nini? ukilinganisha kuwa amenambia ameanza kunionea wivu kwa kuwa nmemwambia wazi kuwa niko nae but kuwa muhusika mkuu.

Wadau hebu nisadieni maana halisi ya kuwekwa kwenye chupa.,
 
wewe tulia akupe maloveee mpaka ukienda ofisni boss unamuita jina lademu wako.
Naisi umesha waza mambo yakishirikina wewe, mwenzio ataka akunogeze wewe unahofia
 
We subiri tu..ukishawekwa ndio uje hapa tukusaidie kutoka chupani!
 
unafanywa msukule! Ila inategemea na ni chupa gani umewekwa
 
Kama sio kuwekwa kwenye youtube, basi subiri akupikie nyama iliyochanganywa na nyama aliyoivundika kwenye naniliu yake kwa muda wa wiki 3 ivi.
 
Nimepata kadada fulani huku kapare.Muislam mimi mkristo.Kaslim body nini,sasa nikamakribisha geto akaja nikaanza kukachezea na vitu vingine vikaendelea.Akarudi kwao. Jioni jana tukawa tunachat na katika chatting na nini akawa anaonyesha kwa jinsi alivochizika na mimi then akanambia kitu kilichonistua kidogo akanambia kuwa ataniweka kwenye chupa.Then akaniambia anaweza nifanya nisiende kazini na hata boss wangu nikwamwita jina lake yani nimwite bosi wangu wa kiume jina la huyo binti (Sijui anataka nifukuzwe kazi)

Leo tumeonana kama lisaa hivi now nimerudi ofisini.Baada ya gemu, leo amenambia kuwa anataka anipikie chakula aniletee lakini nisihofu hataniwekea libwata,baada ya kusema hivo nkamuuliza kwani ana mpango huo.Akanambia nisiwe na wasi hana mpango huo.Nikamuuliza kuhusu swala la kuniweka kwenye chupa akasema maana yake ni kunipa mapenzi kwa kwenda mbele.
Lakini bado kichwa kinaniuma kuhusu haya mambo mawili;Je maana halisi ya kuwekwa kwenye chupa ni nini? ukilinganisha kuwa amenambia ameanza kunionea wivu kwa kuwa nmemwambia wazi kuwa niko nae but kuwa muhusika mkuu.

Wadau hebu nisadieni maana halisi ya kuwekwa kwenye chupa.,
Hapo kwenye red - Aisee watu wengine ofisi zenu nzuri yaani unachomoka job kwenda kupga game alafu unarudi job. Mbona rahaa
 
Hapo kwenye red - Aisee watu wengine ofisi zenu nzuri yaani unachomoka job kwenda kupga game alafu unarudi job. Mbona rahaa

hii ndo tanzania..... Sijui ndo maana ya mapenz kurun dunia au vipi
 
Kwenye chupa utaingiaje?
Au ulikusudia kusema kwenye chu.pi?
 
Kama hakuui na unajua kuwa mnapendana,chapa gwaride kwa mwendo wa "maringo"!Akulogae hatasema na hutojua hadi uambiwe.
 
Hapo kwenye red - Aisee watu wengine ofisi zenu nzuri yaani unachomoka job kwenda kupga game alafu unarudi job. Mbona rahaa

Kazi yangu ni ya mtaani zaidi (field work) kuliko ofisin so hata nitoke masaa5 nikirudi ofisini siulizwi...
 
Back
Top Bottom