Kuweka lami barabara ya Iyegeya hadi Sawala ila Mgololo highway haina lami sio poa!

Uko sahihi mkuu, niulize swali la kizushi, hizo karatasi toka mgololo huwa zinauzwa wapi?
 
Nicko Muzungu

Kuna jamaa ake mwaka jana alikamatwa na mashine za EFD feki kilichompata ni siri yao
Imewatoka zaidi ya 1billion kuchomoka
dah Niko mzungu hv bado yupo?! Sijamsikia kitambo magwiji wa mbao na akina kilamulya enzi hizo za 2000z mwanzoni
 
Kuna watu wanasema barabara sio muhimu sana kwa hujawasikia mkuu
 
Sijawahi kuziona sokoni, labda kama huwa wanauziwa wajumbe tu
Zinauzwa kwa factories as raw material viwanda vya tissue na paper related products kama vile Tanpack Tissues cha Mikocheni wanapata rollers za karatasi kutoka Mgololo.

Na soko lake kubwa liko nje. Currently hakizalishi karatasi nyeupe ingawa soon wataanza.

Product za Mgololo Factory ni 100 % virgin natural sack brown kraft papers destined kwa ajili ya exportation worldwide na domestically.

Viwanda vya maboksi wananunua Mgololo, kiwanda kile hakiundi karatasi kwa ajili ya retail market wanaunda karatasi kwa ajili ya industrial consumption ambapo hao wadogo ndio wanaunda finals kv bahasha nk nk.

Product nyingine inauzwa nje mainly abroad na soko la Africa likiwemo Sadc.

Vizuri ni kwamba umeshajifunza.

Lete swali.
 
Yes, zinaitwa brown kraft papers ambazo huwa kwenye rollers my primary school classmate anafanya kazi hapo...anasema Mgololo kinaaminika sana nje kupeleka brown papers.

Hata Mimi nilishangaa kuambiwa karatasi zao ni Bora Sana nje😀😀! Best nakuja pm ...
 
Nimekusoma mkuu,
 
Mkuu za leo
nahiataji brown papers kwa ajili ya bahasha na vifungashio hao mawakala ntawapata wapi? Je unacontact zao? saidia mimi.


Yes, zinaitwa brown kraft papers ambazo huwa kwenye rollers my primary school classmate anafanya kazi hapo...anasema Mgololo kinaaminika sana nje kupeleka brown papers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…