Kuweka IPTV Katika Receiver

Chief samahani hizi channel za azam nikiziangalia zinakuwa na kivuli sana hata nimejaribu kuangalia mpira wa simba na lipuli zimekuwa na gizagiza kidogo, shida inaweza ikawa wapi?
ungeweka screenshot ingekuwa vizuri. kivuli kwa maana ya mwanga ni mdogo ama vipi sijaelewa hapa
 
ungeweka screenshot ingekuwa vizuri. kivuli kwa maana ya mwanga ni mdogo ama vipi sijaelewa hapa
quality ya video mkuu yan watu wanafifia usoni huwaoni vizuri, nimekwenda tools>preference>inputs> nikachangua resolution ya Full HD (1080 PH) ila haijasaidia sana
 
Mkuu mkwawa hivi kwenye network stem unaandikaje means Mimi niliandika halotel Kwa uelewa wangu imegoma nisaidie kidogo
unamaanisha kwenye hio vlc? unaandika adresss ya hio tv ubatlyotaka kuplay.

nenda page ya kwanza utazikuta
 
quality ya video mkuu yan watu wanafifia usoni huwaoni vizuri, nimekwenda tools>preference>inputs> nikachangua resolution ya Full HD (1080 PH) ila haijasaidia sana
huwezi ongeza kwa quality ya streaming style hio. ukistream na simu haiwi hivyo?
 
huwezi ongeza kwa quality ya streaming style hio. ukistream na simu haiwi hivyo?
Kwa simu sijatumia mkuu, nimetumia tu kwenye pc, kama una alternative nyingine naomba unisaidie mkuu
 
Mkuu asante kwa elim, ninatatzo la sim yangu kuwa na matangazo, yaan nikiwa naangalia kitu over 2min linapita,

Nmejaribu application zote bt hakuna improvement, je unaweza kunisaidia?
 
Mkuu asante kwa elim, ninatatzo la sim yangu kuwa na matangazo, yaan nikiwa naangalia kitu over 2min linapita,

Nmejaribu application zote bt hakuna improvement, je unaweza kunisaidia?
yapo vipi hayo matangazo? ukifungua apps ndio yanakuja au hata usipofungua?
 
Kwa mfano ninapofungua apps, kama jf au naangalia mpira, ghafula linatokea tangazo na kuziba inabidi kwanza nliondoe, na inatokea kila baada ya chin ya dk 2
je ukiwa unaangalia contacts au unaandika msg ya whatsapp au unaandika sms ya kawaida yanatokea?
 
Vyote hvyo, ila mbaya zaidi nikiwa naangalia mpira, unastukia tu tangazo waaaaaaaa limefunika kioo, aseee inakera balaa
 
Vyote hvyo, ila mbaya zaidi nikiwa naangalia mpira, unastukia tu tangazo waaaaaaaa limefunika kioo, aseee inakera balaa
kama ni kote kuna app inafanya hiyo kazi. unatakiwa uitafute uitoe.

1. jaribu kukumbuka tatizo lilianza lini, toa app zote ulizoeka wakati tatizo linaanza

2. jari kwenda setting kisha security kisha device administrator hakikisha kuna device manager tu au app unayoiamini, kama kuna kitu usichokijua untick kisha kitoe

3. nenda setting kisha apps/application manager halafu angalia list ya downloaded apps toa usizozijua.
 
unamaanisha kwenye hio vlc? unaandika adresss ya hio tv ubatlyotaka kuplay.

nenda page ya kwanza utazikuta
Mkuu mkwawa nimedownload mxplayer nimepita hatua zote mwisho napata Majibu hatua ;the link can't play sasa sijui shida iko wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…