TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,436
- 3,557
Ni muhimu sana kwa watu kujua sheria,kuzisoma,kuzitafsiri,namna ya kuzitunga nk.
Watu wengi wanakutana na kadhia lakini wanashindwa hata kujua ni namna gani afungue kesi mahakani mpaka amtafute mwanasheria ama wakili ndio amsaidie.
Kuna ulazima wa kuwa na somo liitwe FUNDAMENTALS OF LAW,lifundishwe kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita, hii itasaifia watu wengi kujua sheria zote za nchi ,urahisi ktk uendeshwaji wa kesi mahakamani nk.
Watu wengi wanakutana na kadhia lakini wanashindwa hata kujua ni namna gani afungue kesi mahakani mpaka amtafute mwanasheria ama wakili ndio amsaidie.
Kuna ulazima wa kuwa na somo liitwe FUNDAMENTALS OF LAW,lifundishwe kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita, hii itasaifia watu wengi kujua sheria zote za nchi ,urahisi ktk uendeshwaji wa kesi mahakamani nk.