Kuwakumbushia tu, Ukraine ni namba 22 kwa uwezo wa kijeshi, hata Misri wanaifumua

Kwani nato hawajatia guu ukraine? Ingekua urusi anapigana na ukraine tu mbona angeshafunga biashara zamani. Ukraine licha ya silaha za nato askari wa nato wako wanapigana kama mamluki. Kuna wamarekani na waingereza mateka kuthibitisha wala hakuna ubishi. Lakini pamoja na usaidizi wa nato mrusi kashateka sehemu kubwa majimbo 4 yenye raia warusi. Majimbo hayo raia wanataka kujiunga na urusi.
Ukraine saa hizi wanazungumzia kukomboa maeneo yaliyotekwa wakati warusi wanszungumzia kulinda maeneo waliyochukua ya ukraine

Ndio nasema mwambieni huyo Urusi ajifanye amekosea njia apige Latvia, kataifa kadogo jirani yake hapo ila mwanachama wa NATO, ndio muelewe nini maana ya NATO kutia guu pale, Urusi itafutika kabisa, yaani kwa ambavyo wameteswa na Ukraine kwa kweli hawawezi kusimama kwenye vita dhidi ya taifa lolote kubwa, hata China na India wanajifanya kumsaidia Urusi ila wanachekelea sana.
 
Mkuu kama unafatilia kweli hii vita unajua jeshi la Ukrain limeshafyekwa zamani. Waliobakia kwa sasa ni jeshi la NATO linalo tumia jina la Ukrainian army.

Tuchukulie mfano Somalia anapigana na Kenya lakini majeshi ya East afrika yote yanamsaidia Kenya na silaha juu. Jee hapa Somali anapigana na Kenya au East Afrika???

..ushindi ktk vita unatokana na combination ya silaha bora, mbinu, na ari ya wapiganaji.

..Ukraine hakuwa amejiandaa kukabiliana na uvamizi wa Urusi ndio maana kila kukicha anaomba msaada wa silaha na fedha toka kwa marafiki zake.
 
Marekani hangeshinda pale, maana alifanikiwa kuwafyeka na kusimika uongozi na jeshi kabisa, sema hangeishi pale milele, ilibidi waondoke na kuachia huo uongozi ujaribu kujisimamia, ila hawangeweza maana sio rahisi kupigana na magaidi ya kiislamu.
Urusi alithubutu kufanya hicho kitu Ukraine, kwamba apige na kusimika uongozi wake, alichokutana nacho kitaandikwa kwenye historia.....
Jeuri ya kupiga na kusimika uongozi ni ubabe ambao Marekani pekee yake ndiye mwenye uwezo huo duniani.
Na imawaje tu kabla hajaondoka vzuri washachukua tena nchi mkuu. Miaka yite kakaa pale kashindwa wamaliza hao mgambo
 
Mnaoishabikia Urusi muendelee kupata aibu, kataifa namba 22 kamezingua hadi basi tu.

I wish Ukraine wangepewa silaha za masafa marefu, pangenoga sana, jamaa wanajituma kama sisimizi.
Kwa ambavyo wamemchosha Urusi ni dhahiri NATO wakitia guu pale, Urusi atafutika.

Globalfire
Yaani namba 22 kijeshi halafu hana silaha za masafa marefu?
 
Na imawaje tu kabla hajaondoka vzuri washachukua tena nchi mkuu. Miaka yite kakaa pale kashindwa wamaliza hao mgambo

Mgambo wa waislamu hauwezi ukawamaliza, kwanza nchi yote waislamu na magaidi yenyewe waislamu, yeye alipaswa kupiga na kuondoka sio kuendelea kuyafukuzia maana yamelishwa mizuka ya kiislamu yatakuchosha bure hata ukimwaga mabilioni na kusimika uongozi maana wote ni hao hao.
 
Mkuu kama unafatilia kweli hii vita unajua jeshi la Ukrain limeshafyekwa zamani. Waliobakia kwa sasa ni jeshi la NATO linalo tumia jina la Ukrainian army.

Tuchukulie mfano Somalia anapigana na Kenya lakini majeshi ya East afrika yote yanamsaidia Kenya na silaha juu. Jee hapa Somali anapigana na Kenya au East Afrika???

Usitufanye wajinga Kama wewe!!Mfano wako ulioutoa si sawa Kenya wako Somalia Kama Peace-Keeper.Ni ujinga kusema askari wa Ukraine wamefyekwa labda umefyekwa wewe na ujinga wako wa kutoelewa mambo.Urusi sasa hivi anapigwa mpaka anakimbia kwenye uwanja wa mapambano na anakimbilia mijini Kwa raia wasio na silaha huko sasa ndiko anatamba kuharibu miundombinu ya kiraia na kuuwa raia wasio na silaha.
 
Watu wa magharibi sio wazuri kamwe, kwanza niwepesi lalamika na wakati huo wanakujaza ujione unawakomesha kumbe ground Wana set mipango mikali, leo jeshi la Ukrain , sio la kitoto tena ,ila Ndo Hawa walimsifia Urus , kwamba Wana uwezo wa kumchakaza Ukrein for 2week , nao Urus wakaja na ya masaaa 72, Nato na washirika wake sio watu wazuri aisee, wanakula na kupuliza

Kwa hiyo unataka kutuambia nini.?Maana hata uvamizi wa Russia huko Ukraine huzungumzii au kwako unaona alifanya vizuri kuvamia Ukraine?
 
Mkuu kama unafatilia kweli hii vita unajua jeshi la Ukrain limeshafyekwa zamani. Waliobakia kwa sasa ni jeshi la NATO linalo tumia jina la Ukrainian army.

Tuchukulie mfano Somalia anapigana na Kenya lakini majeshi ya East afrika yote yanamsaidia Kenya na silaha juu. Jee hapa Somali anapigana na Kenya au East Afrika???
akili fupi sana , Irrelevant example
 
Kwani umesikia Urusi anaugomvi na mtu. Yeye shida yake ni Ukraine (his brothers and sisters) hivyo atapambana nao kidogo kidogo. Leo tu kamgonga 40 missiles kulipiza tukio la kigaidi alilofanya juzi jmosi.

Mnajifariji?
 
Ukivimbiwa maharage lazima utatoa gas chafu yenye kiwasumbua waliokaribu yako. Hivyo hivyo ukila mayai ya kuchensha. Mleta mada ni mmojawapo wa waliokula maharage na kuvimbiwa.

NATO wamekiri for the past 8 years walikua wanajiandaa na hii vita. Wameoa vifaa na mafunzo kwa Jeshi la Ukraine lakini hali ni mbaya sasa wanataka kutumia dirty boom ili tu dunia iwaonee huruma na kuwa upande wao.

Urusi atapaswa kulipia uharibifu wa kivita (war reparation)hivyo anaminimize uharibifu mkubwa anaoweza kufanya.
tupe source , ila isiwe ya kijiwen kwenu
 
Ndiyo atabisha mtu KWa ushabiki tu ,ila Mrusi pamoja na roho mbaya ,ila binafsi nakubali jamaa wanauchumi vinginevyo angekua ameomba yaishe, yani nchi MOJA , haijalishi anaomba misaada wapi ya slaha ila ni muhimilivu Sana, na katika maisha inatupa funzo kwamba LAZIMA kupambana japo siwapendi Urusi na akili zao za ukatili, WENDA akashindwa katika vita hii, ila amejitahidi Sana mpaka Sasa,

Ni kweli vita ni hasara kubwa Sana anzia roho za watu na nyenzo nyingine ila putin ni kichwa japo ni fisadi, na LAZIMA iwe hivyo tokana na utajiri Mungu kalibari Taifa lao Kama hapa Tz japo kwetu tupo tupo tu,
Uruni taifa la kipumbav sn , haya yote kayataka na atayaoga tu
 
Back
Top Bottom