Kuwa ugenini mateso

Kuwa ugenini mateso

Izo ni porojo zenu tu mm nnawatoto 6 wote nimewatawanya kwa ndugu na bado naendelea kuzaa na ntaendelea kuwatawanya hadi kieleweke! Tatizo lenu mishale ya akili inagonga kwenye kula tu eti ooh! Muda wa kula ananituma mbali!!!!!
 
Izo ni porojo zenu tu mm nnawatoto 6 wote nimewatawanya kwa ndugu na bado naendelea kuzaa na ntaendelea kuwatawanya hadi kieleweke! Tatizo lenu mishale ya akili inagonga kwenye kula tu eti ooh! Muda wa kula ananituma mbali!!!!!

Naomba ufafanuzi hapo kwenye red
 
Izo ni porojo zenu tu mm nnawatoto 6 wote nimewatawanya kwa ndugu na bado naendelea kuzaa na ntaendelea kuwatawanya hadi kieleweke! Tatizo lenu mishale ya akili inagonga kwenye kula tu eti ooh! Muda wa kula ananituma mbali!!!!!
<br />
<br />
Acha kurubuni wenzako Yakhe, usemayo ni ya kufkrika zaidi! Gentle man be realistic bana, u knw hapa ni sehemu ya kujifunza pia!
 
duuh nashukuru sana haya mambo hayajanikuta kwa maana mimi ilikua mgeni tuu akija kwetu sitaki anyanyasike kwa namna yoyote ile labda nisijue tena kama ndio katoka kijiji nampa nguo namganda najipendekeza kwake mpaka natimuliwa na maza
 
duuh nashukuru sana haya mambo hayajanikuta kwa maana mimi ilikua mgeni tuu akija kwetu sitaki anyanyasike kwa namna yoyote ile labda nisijue tena kama ndio katoka kijiji nampa nguo namganda najipendekeza kwake mpaka natimuliwa na maza
hongera sana, ni wachache sana wenye moyo kama wako. Wazazi wangu walikuwa na roho nzuri sana, wageni walikuwa hawakauki nyumbani, walisoma na kupatia kazi nyumbani. Ila toka wazazi wafariki hatukuwa na thaman yeyote kwao.
 
Poleni sana wandugu. Hiyo ni changamoto katika maisha. Nadhani wengine mafanikio yenu yametokana na changamoto kama hizo.
 
Roho mbaya maana yake ni nini? Kutegemea fulani akusaidie bila kujua malengo yake ni yapi na bila kujua bajeti zake zinaendaje? Kuingilia taratibu za maisha ya watu na kutaka kuweka sheria yako? Je? Ukiona mtu anaendesha gari una uhakika amenunua kwa hela yake hivyo hatoshindwa kukununulia wewe mdogo yake Pikipiki? au amekopa?

Kuna vitu ni dhahiri siyo vizuri kama kumnyima mtu chakula (kama unacho) lakini ukiangalia malalamiko mengi yanatokana na sisi kutaka njia za mkato kufanikisha maisha yetu kupitia migongo ya wengine bila kujua wenyewe wanaishi vipi. Kama ukipeleka proposal ya msaada kwa ndugu na ukiona anakwepa tafuta option B na angaika kivingine achana nae..

Kunyimana chakula,nyama ndogo,mchuzi chukuchuku hizo ni tabia za watu na wache wenyewe wazitatue hatuwezi kuzijadili hapa..Mtu akikunyima chakula si haki yako kumlazimisha..mwambie mwenyeji wako kuwa unaona kuna matatizo ya chakula hivyo ulihahidi kukaa wiki lakini umekatisha ziara..na unandoka.. atapiga hesabu na siku nyingine atajirekebisha....Mimi binafsi mtu akiniaga kwa kuniambia hivyo nakubali aende lakini huku nyuma shemeji yako ..anatakiwa aandike paper ya maneno yasiyozidi 2500 with references ku-debate hiyo assignment..Sidhani kama kila siku atapenda tena kuandika hizo assignments ..atajua jinsi ya kuwakirimu wageni..
 
Ofcoz mambo kama hayo hutokea bt inategemea na mahusiano yaliyopo! Kuna ile hofu ya uoga wa kuwa mbali na nyumbani pamoja na mazoea! Wengi huteswa na mazoea!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kwa mtazamo wako,afadhali nani awe mkali kati ya mwanamke na mwanaume kwenye familia
<br />
<br />

Afadhali mwanaume awe na roho mbaya kwani hashindi nyumbani sana. Usiombe akawa mwanamke, mwanamke anashinda nyumbani sana hata kama ni mfanyakazi ndie anadhibiti vitengo vyote muhimu vya nyumbani. Bora mara elfu mama awe mpole.
 
Roho mbaya maana yake ni nini? Kutegemea fulani akusaidie bila kujua malengo yake ni yapi na bila kujua bajeti zake zinaendaje? Kuingilia taratibu za maisha ya watu na kutaka kuweka sheria yako? Je? Ukiona mtu anaendesha gari una uhakika amenunua kwa hela yake hivyo hatoshindwa kukununulia wewe mdogo yake Pikipiki? au amekopa?<br />
<br />
<b>Kuna vitu ni dhahiri siyo vizuri kama kumnyima mtu chakula (kama unacho)</b> lakini ukiangalia malalamiko mengi yanatokana na sisi kutaka njia za mkato kufanikisha maisha yetu kupitia migongo ya wengine bila kujua wenyewe wanaishi vipi. Kama ukipeleka proposal ya msaada kwa ndugu na ukiona anakwepa tafuta option B na angaika kivingine achana nae..<br />
<br />
Kunyimana chakula,nyama ndogo,mchuzi chukuchuku hizo ni tabia za watu na wache wenyewe wazitatue hatuwezi kuzijadili hapa..Mtu akikunyima chakula si haki yako kumlazimisha..mwambie mwenyeji wako kuwa unaona kuna matatizo ya chakula hivyo ulihahidi kukaa wiki lakini umekatisha ziara..na unandoka.. atapiga hesabu na siku nyingine atajirekebisha....Mimi binafsi mtu akiniaga kwa kuniambia hivyo nakubali aende lakini huku nyuma shemeji yako ..anatakiwa aandike paper ya maneno yasiyozidi 2500 with references ku-debate hiyo assignment..Sidhani kama kila siku atapenda tena kuandika hizo assignments ..atajua jinsi ya kuwakirimu wageni..
<br />
<br />

Mkuu kuna post yoyote hapa mhusika ameongelea kuomba msaada toka kwa ndugu yake? Hapana. Yanayoongelewa hapa ni masuala ya maisha ya kila siku ugenini. Je familia inayokuhost inakuchukulia kama part and parcel ya familia yao ama wanaonesha ubaguzi wa dhahiri hasa hasa katika vitu kama vile chakula na mgawanyo wa kazi. Kumbuka pia karibu wote wanaochangia wanatoa experience zao enzi zile utotoni wanakaa kwa ndugu wakisoma shule ama wakiwa likizo tu. Hata wale waliokaa ukubwani nadhani mada bado inahusu kile kile ile hospitality ya kifamilia ipo? Si mambo ya misaada
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Mkuu kuna post yoyote hapa mhusika ameongelea kuomba msaada toka kwa ndugu yake? Hapana. Yanayoongelewa hapa ni masuala ya maisha ya kila siku ugenini. Je familia inayokuhost inakuchukulia kama part and parcel ya familia yao ama wanaonesha ubaguzi wa dhahiri hasa hasa katika vitu kama vile chakula na mgawanyo wa kazi. Kumbuka pia karibu wote wanaochangia wanatoa experience zao enzi zile utotoni wanakaa kwa ndugu wakisoma shule ama wakiwa likizo tu. Hata wale waliokaa ukubwani nadhani mada bado inahusu kile kile ile hospitality ya kifamilia ipo? Si mambo ya misaada
bora umemuweka sawa
 
hongera sana, ni wachache sana wenye moyo kama wako. Wazazi wangu walikuwa na roho nzuri sana, wageni walikuwa hawakauki nyumbani, walisoma na kupatia kazi nyumbani. Ila toka wazazi wafariki hatukuwa na thaman yeyote kwao.
<br />
<br /> ooh! Pole sana ila msimjali wala msiwakumbushe kuna kauli inasema 'maisha shule' kila mtu atapita na atajifunza.






0
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt; ooh! Pole sana ila msimjali wala msiwakumbushe kuna kauli inasema 'maisha shule' kila mtu atapita na atajifunza.<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
0
Asante na nilishapoa kwani ni maisha yaliyonifanya niwe na juhudi za ziada ktk shule, mpaka leo naamin juhud haimtupi mtu.
 
generaly,kuishi kwenu inakuwa vizuri sana maana upo free na una uhuru wa kufanya mambo yako mengi tu pasipo kubugudhiwa
 
Binafsi nimepitia kwa watu na nilikuwa na malalamiko kama ya wengine hapo juu. Lakini bahati nzuri baada ya kuanza familia nikapata bahati ya kuishi na ndugu wa pande zote wanaonitegemea kwa kiasi kikubwa. Hapo ndo niligundua kuwa usilalamike kabla hujaexperience upande wa pili. Baadhi ya ndugu(including me kipindi kile) wanakuwa na expectation za juu sana, wanadhani kwa sababu kaka/dada/shemeji/mjomba wao ana gari/nyumba nzuri basi kila kitu watakachotaka watapata. Mjini mipango jamani. Sikatai kuwa hauna wanyanyasaji, wapo lakini na ndugu pia wana maudhi yao. We unapofikia kwa ndugu yako, angalia kilichokupeleka pale, kama unapitia tu ili kufanikisha ishu zako we komaa na mipango yako otherwise ukianza kuvimbia ishu za misosi utapoteza mwelekeo! Usitegemee kwa ndugu utaishi kama kwenu, hilo sahau
 
Imekuwa ikisemwa hivyo mara kwa mara. Mimi niliamini huu usemi mwaka 2002., nakumbuka nilikuja Dar kufatilia uhamisho wangu wa shule, nilikaa kwa baba yangu mdogo kwa takribani wiki moja. Huyo mama niliyemkuta hapo alikuwa hapiki mpaka mumewe awepo. Wiki niliiona kama mwaka, hata nilipoaga nilipewa nauli kimanati. Najua wengi tumepitia kwa ndugu kutokana na sababu mbalimbali, kuna walioishi vizuri lakini wengi wanalalamika. Je tatizo hasa nini? Ukiwa ni miongoni mwa uliyetendewa mabaya, umejifunza nini?

Unaenda kwa watu hata nauli ya kurudi kwenu huna? Kwa nini wasikuone mzigo?
 
Unaenda kwa watu hata nauli ya kurudi kwenu huna? Kwa nini wasikuone mzigo?
mkuu nauli nilikuwa nayo, nilipoona wananizingua nikawaambia naondoka, ndipo wakaanza kujikanyaga kujidai anatafuta nauli, nakumbuka alizuga anaenda kukopa kwa jirani.
 
Binafsi nimepitia kwa watu na nilikuwa na malalamiko kama ya wengine hapo juu. Lakini bahati nzuri baada ya kuanza familia nikapata bahati ya kuishi na ndugu wa pande zote wanaonitegemea kwa kiasi kikubwa. Hapo ndo niligundua kuwa usilalamike kabla hujaexperience upande wa pili. Baadhi ya ndugu(including me kipindi kile) wanakuwa na expectation za juu sana, wanadhani kwa sababu kaka/dada/shemeji/mjomba wao ana gari/nyumba nzuri basi kila kitu watakachotaka watapata. Mjini mipango jamani. Sikatai kuwa hauna wanyanyasaji, wapo lakini na ndugu pia wana maudhi yao. We unapofikia kwa ndugu yako, angalia kilichokupeleka pale, kama unapitia tu ili kufanikisha ishu zako we komaa na mipango yako otherwise ukianza kuvimbia ishu za misosi utapoteza mwelekeo! Usitegemee kwa ndugu utaishi kama kwenu, hilo sahau
aaah aaah eti kuvimbia msosi! Kwanini nawe unyime watu msosi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom