Mm nlikuwa nkibakiza ugali wanasema kula wote mjini hamna mashamba,unasaza sababu hujui bei ya unga!
Nilikuwa nakaa kwa mamamdogo wakati na soma o-level day! Baada ya kugundua weakness yangu kwamba siwezi kula chakula chenye pilipili ilikuwa inasagwa kwa wingi na wakati wa kula inamwagwa kwenye mboga! Nilishindwa kuishi nikapata msamalia mwema mama mshiriki wa kanisa nilipokuwa nasali alinihost mpaka nikamaliza shule! MUNGU AMBARIKI TENA NA TENA na AMWONGEZEE UHAI MARADUFU NA MAFANIKIO ZAIDI
Mama mdogo au msamalia mwema
wanawake sisi saa nyingine ni sumu kwenye familia za watu, nasema familia za watu maana wewe umeolewa ukaikuta. mwanamke unaoelewa unakuta watu wanaelewana kupita kiasi. wewe kidudu mtu unavuruga kuanzia mumeo na wazazi wake, mumeo na ndugu zake, mumeo na marafiki, halafu mnabaki wewe, yeye watoto wenu na ndugu zako!!! hivi hii inakuaje? na wako wengi wa aina hii. Jamani kama kuna wanawake walio hivi humu hebu tubadilike na waambie na wengine kua maisha haya ni ya kupita tu, vyakula hivi baada ya muda unaenda chooni kuvitoa. Kama unaishi na mtoto wa watu, wa ndugu yako au ndugu wa mumeo, ishi nae vizuri maana mara nyingi shida ndio inapelekea aje kukaa kwako. sidhani kama isingekua shida kuna mtu angetaka kupeleka mtoto wake alelewe kwingine. Kwani ukimpenda na kumthamini, utapungua wapi. akila chakula chenu, utafirisika? ikiwa huna roho ya imani, basi bora ukatae, kuliko kuishi na mtoto wa watu na umfanye mtumwa.
Nilikuwa nakaa kwa mamamdogo wakati na soma o-level day! Baada ya kugundua weakness yangu kwamba siwezi kula chakula chenye pilipili ilikuwa inasagwa kwa wingi na wakati wa kula inamwagwa kwenye mboga! Nilishindwa kuishi nikapata msamalia mwema mama mshiriki wa kanisa nilipokuwa nasali alinihost mpaka nikamaliza shule! MUNGU AMBARIKI TENA NA TENA na AMWONGEZEE UHAI MARADUFU NA MAFANIKIO ZAIDI
....ni roho mbaya tu za binadamu....nashukuru me sijapitia hayo ila nimeona wengi......kuna dogo mmoja zamani mtaani alikuwa anawekewa chakula pamoja na mbwa wale pamoja....imagine?sijui hata yuko wapi sasa najua atakuwa amekuwa mtu mzima
Yaani nikikumbuka basi tu.MUNGU nilinde.wanangu wasipate mateso niliyoyapitia kwa ndugu
Hicho ndicho kilichonifanya nisiende kukaa kwa watu maishani mwangu. Naelewa kuwa kuna wengi situation zinawalazimu kufanya hivyo. Ila kama ni kuchagua kwa kweli kukaa kwa watu tabu. Nakumbuka nilienda kumtembelea ndugu yangu Arusha, yani I had to pretend being a good girl. Kuamka saa kumi na mbili, wakati home kama siendi school nalala nitakavyo.
Kwa watu napiga kazi kweli kweli. Yani mpaka mtu unaaga wanakwambia njoo tena next holiday. Maana wanaona wamepata housegirl wa bure. Wengi hawalijuhi hilo kuwa huwezi kuishi maisha kama ya nyumbani kwenu ukiwa ugenini.
sio wewe tu
wengi tumejifunza mengi ugenini...
Mimi kuna vyakula nilipokuwa mdogo nilikuwa sili
na home kwetu hatukuwahi kushinda bila kula
but kwa ndugu nilijifunza kula kitu na kushinda na njaa pia....
Siku moja kwa baba mdogo tumekaa siku nzima bila kula
ikawasili mihogo saa sita usiku.....tulii ilamba kama asali...
Haya mambo yako pande zote zote. Sisi mama yetu alikuwa anatuambia tulale kwenye makochi wageni wakija nyumbani ambao most of them ni ndugu upande wa baba. Kuna waliokuwa wanakuja bila hata malengo; si wa kuondoka leo au kesho lakini tulikuwa tunabanana tu. Wengine wakaja ku win maisha tukawa tunawasikia bombani wala shukurani hawana.
Wengine ni ndugu wa mbali. Wanatangaziana tu huko kijijini; ukienda dar fikia kwa mzee fulani ana nyumba kubwa. Tena wanakuja kwa kushtukiza maana those days hakukuwa na simu za viganjani ni za kukoroga tu. Mnashtukia mtu katia timu. Sisi tulikuwa tuna mind kweli maana tulikuwa hatuko comfortable lakini mama alikuwa mkali kweli yani priority kwake ni wageni. Mama alipoachana na baba walikuwa wa kwanza kushangilia wala hawakuwa wanakumbuka fadhila zake. Binadamu ni wagumu sana kuishi nao.
Haya mambo yako pande zote zote. Sisi mama yetu alikuwa anatuambia tulale kwenye makochi wageni wakija nyumbani ambao most of them ni ndugu upande wa baba. Kuna waliokuwa wanakuja bila hata malengo; si wa kuondoka leo au kesho lakini tulikuwa tunabanana tu. Wengine wakaja ku win maisha tukawa tunawasikia bombani wala shukurani hawana.
Wengine ni ndugu wa mbali. Wanatangaziana tu huko kijijini; ukienda dar fikia kwa mzee fulani ana nyumba kubwa. Tena wanakuja kwa kushtukiza maana those days hakukuwa na simu za viganjani ni za kukoroga tu. Mnashtukia mtu katia timu. Sisi tulikuwa tuna mind kweli maana tulikuwa hatuko comfortable lakini mama alikuwa mkali kweli yani priority kwake ni wageni. Mama alipoachana na baba walikuwa wa kwanza kushangilia wala hawakuwa wanakumbuka fadhila zake. Binadamu ni wagumu sana kuishi nao.
hongera sana, ni wachache sana wenye moyo kama wako. Wazazi wangu walikuwa na roho nzuri sana, wageni walikuwa hawakauki nyumbani, walisoma na kupatia kazi nyumbani. Ila toka wazazi wafariki hatukuwa na thaman yeyote kwao.
Haya mambo yako pande zote zote. Sisi mama yetu alikuwa anatuambia tulale kwenye makochi wageni wakija nyumbani ambao most of them ni ndugu upande wa baba. Kuna waliokuwa wanakuja bila hata malengo; si wa kuondoka leo au kesho lakini tulikuwa tunabanana tu. Wengine wakaja ku win maisha tukawa tunawasikia bombani wala shukurani hawana.
Wengine ni ndugu wa mbali. Wanatangaziana tu huko kijijini; ukienda dar fikia kwa mzee fulani ana nyumba kubwa. Tena wanakuja kwa kushtukiza maana those days hakukuwa na simu za viganjani ni za kukoroga tu. Mnashtukia mtu katia timu. Sisi tulikuwa tuna mind kweli maana tulikuwa hatuko comfortable lakini mama alikuwa mkali kweli yani priority kwake ni wageni. Mama alipoachana na baba walikuwa wa kwanza kushangilia wala hawakuwa wanakumbuka fadhila zake. Binadamu ni wagumu sana kuishi nao.
hongera sana, ni wachache sana wenye moyo kama wako. Wazazi wangu walikuwa na roho nzuri sana, wageni walikuwa hawakauki nyumbani, walisoma na kupatia kazi nyumbani. Ila toka wazazi wafariki hatukuwa na thaman yeyote kwao.
duh poleni wote mlioteseka kwa kukaa kwa ndugu....mie namshukuru Mungu mpaka nakuwa kwa ndugu tunaenda likizo tu za juu kwa juu......ingawa sie tuliishi na ndugu wazazi walijitahidi kuwafanya kama watoto wao ingawa mwisho wa siku waliambulia matusi......baadhi ya ndugu ni lawama na hawana shukrani......
Imekuwa ikisemwa hivyo mara kwa mara. Mimi niliamini huu usemi mwaka 2002., nakumbuka nilikuja Dar kufatilia uhamisho wangu wa shule, nilikaa kwa baba yangu mdogo kwa takribani wiki moja. Huyo mama niliyemkuta hapo alikuwa hapiki mpaka mumewe awepo. Wiki niliiona kama mwaka, hata nilipoaga nilipewa nauli kimanati. Najua wengi tumepitia kwa ndugu kutokana na sababu mbalimbali, kuna walioishi vizuri lakini wengi wanalalamika. Je tatizo hasa nini? Ukiwa ni miongoni mwa uliyetendewa mabaya, umejifunza nini?
asilimia kubwa ya wanaolalama hapa ni dizaini hiyo...lawama,hawana shukrani