Habari zenu Wakuu,
Ukiona mtu ametulia kwenye mahusiano na hana michepuko wala kutoka nje basi tambua kuwa amefanya maamuzi na sio upendo.
Kama ulikuwa hujui ni kwamba, unaweza kupenda na bado ukapenda kuwa na wengine zaidi (TAMAA).
Ukiona mtu ametulia basi tambua kuwa amefanya maamuzi na sio kwamba wewe umekamilika au unamtosheleza kwa kilakitu.
NB. MUHESHIMU MTU ALIETULIA, MAANA NI BAHATI KUMPATA.
Ukiona mtu ametulia kwenye mahusiano na hana michepuko wala kutoka nje basi tambua kuwa amefanya maamuzi na sio upendo.
Kama ulikuwa hujui ni kwamba, unaweza kupenda na bado ukapenda kuwa na wengine zaidi (TAMAA).
Ukiona mtu ametulia basi tambua kuwa amefanya maamuzi na sio kwamba wewe umekamilika au unamtosheleza kwa kilakitu.
NB. MUHESHIMU MTU ALIETULIA, MAANA NI BAHATI KUMPATA.