Kuwa Mume na Baba ni Wajibu Usioepukika?

Companero

Platinum Member
Jul 12, 2008
5,604
1,704
Kijani rijali ukishavuka umri wa miongo mitatu bila kuoa au kuwa na mtoto unasakamwa huko na kule. 'Hivi mwanetu utaoa lini?', utaulizwa na wajomba na shangazi zako. 'Yaani unataka tufe kabla ya kuona wajukuu?', utahojiwa na mabibi na mababu zako. 'Eti Kaka huna hata mtoto wa kusingiziwa', utasailiwa na dada na kaka zako. Jamani hivi kuoa na kuzaa ni wajibu? Si watu wameshaongezeka na kuijaza nchi? Ni dhambi na laana kutooa na kutozaa kama si mseja?
 
Kuwa mseja si laana labda kuwa msela!

Swali la msingi, mahitaji ya ngono utayatimizaje? Kuna mtu alikuja na Uzi kama huu, nikauliza kuoa maana yake nini, akaniignore!

Kama waweza ishi bila ngono, then useja unakufaa na good thing ni kuwa utasaidia kumaintain population kikubwa tu.

Lakini kama utaendelea kungonoka, then ni bora kuwa na mtu wako hata kama msipofanya harusi; la utaleta matatizo makubwa, kwani utakuwa ni wa kuruka huku na huku na kuleta vitoto vya mitaani!

So ukiacha jamii inaexpect nini, ili uwe responsible citizen wa hii dunia; machaguo ninayoyaona mimi ni kuoa au kutongonoka kabisa!
 
Kuwa mseja si laana labda kuwa msela!

Swali la msingi, mahitaji ya ngono utayatimizaje? Kuna mtu alikuja na Uzi kama huu, nikauliza kuoa maana yake nini, akaniignore!

Kama waweza ishi bila ngono, then useja unakufaa na good thing ni kuwa utasaidia kumaintain population kikubwa tu.

Lakini kama utaendelea kungonoka, then ni bora kuwa na mtu wako hata kama msipofanya harusi; la utaleta matatizo makubwa, kwani utakuwa ni wa kuruka huku na huku na kuleta vitoto vya mitaani!

So ukiacha jamii inaexpect nini, ili uwe responsible citizen wa hii dunia; machaguo ninayoyaona mimi ni kuoa au kutongonoka kabisa!

kuoa = kungonoka?
 
Companero...

KUna kitu wanaita call of nature... kama vile haja ndogo au kubwa, basi ndoa, familia na majaaliwa ya watoto huenda na wito wa asili!! na pale nature inapoonekana kuchelewa, basi wale walinzi wa nyakati huanza kuwa anxious

It is always good to observe nyakati na hasa wakati huu wa :censored:
 
Companero...

KUna kitu wanaita call of nature... kama vile haja ndogo au kubwa, basi ndoa, familia na majaaliwa ya watoto huenda na wito wa asili!! na pale nature inapoonekana kuchelewa, basi wale walinzi wa nyakati huanza kuwa anxious

It is always good to observe nyakati na hasa wakati huu wa :censored:

"utakuja kujuta baadaye" - mlinzi wa nyakati
 
Ubaya uko wapi kama akiwa peke yake?

inasemekana mwanaume aliumbwa awe na mwenza wa kike, waambatane na kuwa mwili mmoja; eti ni asili, hivyo ni ubaya kimaumbile kuwa peke yake labda awe na kipawa che pekee cha kuwa peke yake kinachojulikana kama 'useja'.
 
"utakuja kujuta baadaye" - mlinzi wa nyakati
Lol companero... acha uoga mkuu

majuto ni part of life, if its not there then what is the value of life and knots?... I have been married for over 8 years now, and everyone around me though i would nevr get married.,.. reason??? avoidance and ego/kiburi towards women, and guess what; NEVER REGRETTED, I AM MORE GRATEFUL COZ SHE IS TAKING TOO MUCH BULSHIT OF ME-SELF

think about it, denials and aversive behaviours kill the power of dreaming and innovation
 
Commercial Break: Wimbo wa Lady Jaydee uitwao "Boyfriend wa D'Salaam"
 
According to me yes!
Ndio maana watu huita tendo la ndoa!
Hata catholic church yaweza nullify ndoa kama ikiwaproven beyond reasonable doubt kuwa hamjangonoka!

Hivyo kama kufanya tendo la ndoa ni lazima/wajibu/muhimu basi kufunga ndoa nako ni lazima/wajibu/muhimu?
 
According to me yes!
Ndio maana watu huita tendo la ndoa!
Hata catholic church yaweza nullify ndoa kama ikiwaproven beyond reasonable doubt kuwa hamjangonoka!

Kwenye kanisa Katoliki kuna mambo ya proof "beyond (a) reasonable doubt"?

Mi nilidhani hicho ni kiwango tu cha uthibitishaji kinachohitajika katika kesi za jinai ili kumpata mtu na hatia ya kosa atuhumiwalo kulitenda....au?
 
Lol companero... acha uoga mkuu

majuto ni part of life, if its not there then what is the value of life and knots?... I have been married for over 8 years now, and everyone around me though i would nevr get married.,.. reason??? avoidance and ego/kiburi towards women, and guess what; NEVER REGRETTED, I AM MORE GRATEFUL COZ SHE IS TAKING TOO MUCH BULSHIT OF ME-SELF

think about it, denials and aversive behaviours kill the power of dreaming and innovation

Nasikia ndoa ya miaka 5-10 inahesabiwa kuwa bado ni ndoa changa tu...

'Waoga hufa mara elfu moja kabla hawajafa'...
 
Kwenye kanisa Katoliki kuna mambo ya proof "beyond (a) reasonable doubt"?

Mi nilidhani hicho ni kiwango tu cha uthibitishaji kinachohitajika katika kesi za jinai ili kumpata mtu na hatia ya kosa atuhumiwalo kulitenda....au?

Wana mabaraza yao wale!
 
Back
Top Bottom