Kuwa mfupi au kuwa na mwonekano mbaya haimaniishi hautafanikiwa, endelea kujikubali na kujipa thamani

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
18,025
45,576
Screenshot_20231102-082845.png


Kuna jambo katika nchi yetu lipo mtu akijiona mfupi au kuwa mlemavu anaamini yeye safari yake ya MAISHA haitokuwa na MAFANIKIO hii sio Kweli ni upotovu.

Katika MAISHA ili ufanikiwe unahitaji zaidi utimamu wa kiakili na kulivaa tumaini hata wakati Akili yako na Mwili vitakapokuwa havina Nguvu ya kusonga mbele.

Hivyo ikiwa wewe hauna mikono na Miguu au mfupi Sana hiyo isikupe hofu na kukatisha tamaa ,jitazame zaidi ndani yako na sio nje yako hakikisha unatumia MUDA wako katika kuishibisha Akili yako ili kuondoa mipaka katika MAISHA yako.

Huyu jamaa katika picha Hana mikono na Miguu ila anaishi MAISHA Makubwa na anawatia watu moyo na kuwafundisha namna gani waishi kwa furaha ,upendo na Amani.

Kama wasomi na wadau wa Jf tuna kila sababu ya kuhakikisha tunaibadilisha jamii na kuwafanya watu wote kuishi kwa usawa.


Kila mtu anaweza kutimiza ndoto zake Endapo akibadilisha mindest na kuamini MAISHA hayana mipaka


Kumbuka, mtu aliyepoteza matumaini anakuwa yupo hatarini kuzidiwa hata na mtu ambaye Hana mikono ,mikono na Miguu


Furaha
Amani ya moyo
UPENDO
Uthamani
Hivi vitu vipo ndani yako ikiwa utataka watu wakupe hivi vitu ndo pale mawazo hasi uzaliwa na kuona Dunia haipo upande wako anza Kujitazama ndani yako na ujipe thamani wewe Kama wewe,


Ukijitazama ndani utagundua una adhina kubwa Sana tofauti unavyojiona kwa nje.

Haya land kigamboni
 
Hivyo vitu havina uhusiano na mafanikio Bali vina ishu ya internal feelings Kwa sababu unajiona tofauti na wengine.

Ingekuwa hayo mafanikio wengine ambao ni warefu hawapati basi yangekuwa ndio offset ila Kama nao wanapata haiwezi kuondoa hizo hisia za inferiority complex.
 
Hivyo vitu havina uhusiano na mafanikio Bali vina ishu ya internal feelings Kwa sababu unajiona tofauti na wengine.

Ingekuwa hayo mafanikio wengine ambao ni warefu hawapati basi yangekuwa ndio offset ila Kama nao wanapata haiwezi kuondoa hizo hisia za inferiority complex.
Everything is mindest game
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom