Huyo jina Magufuli litamtesa hadi anazikwaJohn. F . Kennedy international airport ipo Malawi au Namtumbo?
Tafadhali sana usimfananishe John.F.Kennedy na John utumbo.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kufanya kitu kama hicho.John. F . Kennedy international airport ipo Malawi au Namtumbo?
Ukisoma hakikisha unaelewaTafadhali sana usimfananishe John.F.Kennedy na John utumbo.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kufanya kitu kama hicho.
Hakikisha kuwa humfananishi wala kumlinganisha John.F.Kennedy na John utombo wa Chato.Ukisoma hakikisha unaelewa
Niwatu baada ya kutoka polisi huwa wanakuja na stori nyingi sana za kishujaa,kazi kwako sasa kuzichambua.
mtu anaweza kukwambia,niliingia pale nikachimba mkwara mapokezi yote wakaingia chini ya meza,na kuanza kunitetemekea wananiomba msamaha.
huyo jamaa yako anauza bangi,asikupange kisa kaona una kichwa kikubwa.
Alibambikiziwa wapi kijijini,stand au kituo cha polisiHapo unabambikiziwa tu
PGO tenaKushuka kwenye gari na mzigo wako, watu waje direct wakukamate. Mh. Kwani PGO inasemaje
Ndiyo maana yule mjinga alisema watu wote washukie hapo kumbe ndiyo agenda waliyokuwa nayo ya kuumiza wanyonge ili wapate rushwaHabari wadau..!
Hii imewakuta watu ninao wafahamu.
Ipo hivi unaweza ukawa umesafiri salama ila ukishuka tu kituo cha bus pale stand ya Magufuli unapokelewa moja kwa moja mpaka polisi post ukizingua kunyoosha mkono au maelezo unajikuta upo Ukonga, Keko au Segerea sijajua sasa kama ni ubambikiwaji kesi au ni coincidence inatokea.
Usiniulize inakuwaje:Jamaa anahadithia alienda kwenye msiba mkoani wakati wa kurudi akafungashiwa mizawadi ya ndizi na mazagazaga alipofika stand akasimamishwa na watu wanajiita polisi jamii wakawapakia na mizigo yao mpaka kituo cha polisi, polisi wakachana katikati ya kiroba wakakutana na kitu ya marijuana msala ndio ukaanzia hapo.
Je hii ni coincidence kwamba kuna wahuni walichanganya viroba wakabeba sio, utapeli mpya mjini au ubambikizwaji kesi za bangi???
Makolo bonge la jina yaan mjomba kizambiaMakolo fc
Kama ukudhamiria Mola ukuepushaKwa nn si rahisi??
Basi leta jina la mamako tuandike pale njeKodi ni za wafuja jasho wa Tanzania lakini stand inaitwa kuwa ni stand ya Magufuli!Mtu mweusi ni takataka kabisa