Tuanze kwa kupima viongozi akili, taifa litapigwa na butwaa na matokeo.Hata kichaa hudhani watu wenye akili timamu ni vichaa huku yeye akidhani ana akili timamu.
Mtu unatafuta usingizi unagoma halafu unaanza kuwaza matamko ya wanasiasa badala ya kuwaza afya yako.
Hata kichaa hudhani watu wenye akili timamu ni vichaa huku yeye akidhani ana akili timamu.
Mtu unatafuta usingizi unagoma halafu unaanza kuwaza matamko ya wanasiasa badala ya kuwaza afya yako. Mbaya zaidi hao unaowaza matamko yao wamelala na wake/waume zao wakifurahia maisha.
Itatusaidia nini kama taifa?Tuanze kwa kupima viongozi akili, taifa litapigwa na butwaa na matokeo.
Tumia google kupata jibu badala ya kupoteza muda kuuliza maswali ambayo majibu yake unayo kwenye vidole vyako.Hivi bado lile Gazeti la Msema Kweli lipo?
Nini Matatizo ya Msingi? Ni kama Mmomonyoko wa Maadili sio? Hakuna lisilowezekana!Itatusaidia nini kama taifa?
Moja ya tatizo nchini ni baadhi ya watu kutumia muda mwingi katika masuala ambayo niya kipuuzi na kuacha matatizo ya msingi.
Wewe Unazungumza Kuhusu watu kukosa Usingizi, Inaonyesha unakisiakisia tu Kana kwamba Dunia ni Meza na Time zone ni moja. Sio kwamba Kila anayechangia hapa JF awe katika Time zone Moja na wewe, Mimi Unayeniambia Nikalale Nipo Venezuela na Bado sasa ni Mapema Kabisa. Na Ni uhakika gani ulionao Kuwa wewe Priority model yako ndio unit ya Kufuatwa na Kila Mmoja, Je Kama sina Familia, Je Kama sina Ndugu. Na Kama Priority yako ya Kwanza ni Afya yako hebu Kuwa Mkweli Tueleze hapa Ratio ya Uzito wako vs Urefu, Tujue kweli Unajali Afya yako! Au kwa Maneno Mengine Kama kweli wewe Ni Msemaji Ukweli na Unafuata Unachonihubiri? Weka Picha yako hapa Kama haupo Obese, Ntakupa $ 5000 hapa hapa Naapa Mbele za Mungu. Hiyo ni changamoto nakupa thibitisha Usemaji Ukweli wako beste wangu!Hata kichaa hudhani watu wenye akili timamu ni vichaa huku yeye akidhani ana akili timamu.
Mtu unatafuta usingizi unagoma halafu unaanza kuwaza matamko ya wanasiasa badala ya kuwaza afya yako. Mbaya zaidi hao unaowaza matamko yao wamelala na wake/waume zao wakifurahia maisha.
First priority ni afya yako.
Second priority ni familia yako.
Third priority ni ndugu zako.
Fourth Priority ni taifa lako.
Fifth priority ni dunia yako.
Kichaa kimekupanda mpk unampangia cha kuwaza.Hata kichaa hudhani watu wenye akili timamu ni vichaa huku yeye akidhani ana akili timamu.
Mtu unatafuta usingizi unagoma halafu unaanza kuwaza matamko ya wanasiasa badala ya kuwaza afya yako. Mbaya zaidi hao unaowaza matamko yao wamelala na wake/waume zao wakifurahia maisha.
First priority ni afya yako.
Second priority ni familia yako.
Third priority ni ndugu zako.
Fourth Priority ni taifa lako.
Fifth priority ni dunia yako.
Pasco Nakukubali sana!Wanabodi,
Saa hizi natafuta usingizi unagoma, hivyo nimeshuka jf, tutafakari pamoja, hivi sisi Watanzania tuu wazima kweli? !.
Huu ni uzi wa swali, kuwa
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Mtu Aokote Makopo!. Jee Kuna Uwezekano Tanzania Tuna Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!.
Kuna msemo usemao kuwa kichaa sio lazima mtu mpaka aokote makopo, ila kwa maneno na matendo ya baadhi ya sisi Watanzania wakiwemo baadhi ya viongozi wetu, nashawishika kabisa kuamini, kuna uwezekano wengine sio wazima kabisa kichwani ila pia sio vichaa kwa sababu hawaokoti makopo! .
Hoja hii imetokana na kutafakari kwa makini baadhi ya kauli, maagizo, na maamuzi yetu sisi kama Watanzania na viongozi wetu accross the section, na baadhi ya matendo yao yakiwemo maamuzi yao ,amri zao na hatua ambazo wanachukua kudeal na situations mbali mbali zinanithibitishia kuwa badhi ya wenzetu sio wazima kabisa kichwani na na mimi nikiwemo, hivyo wanahitaji kusaidiwa kujitafakari badala ya kushangiliwa tuu kwa kila wanachokifanya, hata wakifanya ndivyo sivyo, watashangiliwa tuu na kupongezwa! .
Vichaa Viongozi.
Kwa muktadha huo wa ukichaa, ukiwasikiliza matamko ya baadhi ya wanasiasa na viongozi wa serikali, na ukafuatilia matendo yao,amri zao na maamuzi yao, utakubaliana na mimi sisi Watanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyo jidhania.
What to do to help out.
Mtu kichaa hajijui kama kichaa mpaka atakapojulishwa ukichaa wake, na kujitafakari, ndipo atajigundua na kubadilika. Namna ya kuwasaidia viongozi wetu kujitambua, ni pale wanapotamka matamshi ya kiendawazimu, au kutoa maamuzi ya kiendawazimu, badala ya kuwashangilia wazomeeni ili wajitambue.
Kitendo cha viongozi hawa kutoa matamshi ya kiendawazimu na maamuzi ya kiajabu ajabu na sisi tukiwashangilia badala ya kuwakemea au kuwazomea, kunapelekea wote kuonekana ni vichaa!.
Hivi kweli Tanzania tumefika hapa kuwaacha vichaa hawa kufanya ukichaa wao huku sote tukishangilia tuu bila kukemea, jee sote ni vichaa au kuna wenzetu wanaona tofauti na wanaweza kusaidia tubadilike?.
Paskali
Utamkemea na kulaan kichaa itasidia nn??NIMEKUELEWA PASKALI nami nitoe oni langu.... kichaa anapochekewa bila kukemewa ukichaa hukua na hiongezeka maradufu.. hivyo shime uonapo/usikiapo tendo lolote la ukichaa tulilaani na kulikemea papo kwa hapo ; kwa njia hiyo tunaweza kumpunguzia hali yake ya ukichaa au matendo ya ukichaa ya muhusika.
Hata kichaa nae anajiona mzima...Bahati nzuri mimi si kichaa...wala sipo kwenye kundi la viongozi.
Ah ah ahKukosa usingizi na kuanza kufikiria kuna vichaa wangapi Tanzania, huo ni wazimu, zaidi ya ukichaa.
Kuwa kichaa Tanzania ni sifa, si nnawasikia vijana wakiitana kwa sifa "kichaa wangu".
Acha kukataa asili yakoBahati nzuri mimi si kichaa...wala sipo kwenye kundi la viongozi.
NiniMkuu acha hizo
wewe ni mmoja ya waandishi wa habari mliozea kuishi kwa kufadhiliwa na wanasiasa,kwa sasa lazima ukome hakuna bahasha na hela za hovyo hovyo....kanjanja mkubwa. mlizoe kuzunguka nchi na wanasiasa sasa mnanyooka.Hapana, ukichaa huongezeka pale unapopewa rutuba na vimelea vifuatavyo; Wakudadavuwa, Lizaboni, Ruttashobolwa, stroke, Adharusi, Amrish Puri, Ng'wanapagi, Pamputi, kampelewele, foxplato, mwengeso na gunia zima kutoka Lumumba.
Wewe nawe ni mmoja ya watu ambao mtoa mada anashauri mjitathminiwewe ni mmoja ya waandishi wa habari mliozea kuishi kwa kufadhiliwa na wanasiasa,kwa sasa lazima ukome hakuna bahasha na hela za hovyo hovyo....kanjanja mkubwa. mlizoe kuzunguka nchi na wanasiasa sasa mnanyooka.