Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?

Wewe Unazungumza Kuhusu watu kukosa Usingizi, Inaonyesha unakisiakisia tu Kana kwamba Dunia ni Meza na Time zone ni moja. Sio kwamba Kila anayechangia hapa JF awe katika Time zone Moja na wewe, Mimi Unayeniambia Nikalale Nipo Venezuela na Bado sasa ni Mapema Kabisa. Na Ni uhakika gani ulionao Kuwa wewe Priority model yako ndio unit ya Kufuatwa na Kila Mmoja, Je Kama sina Familia, Je Kama sina Ndugu. Na Kama Priority yako ya Kwanza ni Afya yako hebu Kuwa Mkweli Tueleze hapa Ratio ya Uzito wako vs Urefu, Tujue kweli Unajali Afya yako! Au kwa Maneno Mengine Kama kweli wewe Ni Msemaji Ukweli na Unafuata Unachonihubiri? Weka Picha yako hapa Kama haupo Obese, Ntakupa $ 5000 hapa hapa Naapa Mbele za Mungu. Hiyo ni changamoto nakupa thibitisha Usemaji Ukweli wako beste wangu!
Wanadamu Jamani!
 
Kichaa kimekupanda mpk unampangia cha kuwaza.
 
Pasco Nakukubali sana!
 
Utamkemea na kulaan kichaa itasidia nn??

Kichaa ni tayar mgonjwa anahitaji matibabu na sio kukemewa..

Km mdau alivyo sema juu tushaur ktk familia zetu kupima ugonjwa wa akili aisee
 
Ni mada nzuri sana iliyoletwa na Pasco,ingawa nina mashaka kama itaweza kusurvive hadi kuchao Kabla haijanyofolewa...........

Hata hivyo watu wa kubebeshwa lawama kwa hii dhahama iliyolikumba Taifa hivi sasa kwa kuongozwa na watu 'punguani' ni wale jamaa zetu wa Kitengo......

Wao ndiyo wenye jukumu kubwa kabisa la kupekua background kwa maana ya kufanya vetting ya kila anayestahili kupata nafasi ya juu ya uongozi wa nchi yetu.

Sasa inashangaza mno kuona ilikuwaje jina la huyo jamaa yetu likawa limepitishwa na Kitengo hiko nyeti kinachoaminiwa na Umma wa watanzania kwa weledi wa utendaji kazi wake, wakati dalili zote zinaonyesha kuwa jamaa yetu huyo hayuko sawa upstairs?
 
Tangu tulipopigiwa push ups jukwaani, nilijua kabisa pana tatizo hapako salama lazima dish limeyumba lakini waliamua huyu ndiye, acha tuyashuhudie na mengine mengi yatakayo kuja, alipiga push kanda hiyo hiyo akatamka mambo ya aibu tena mbele ya watoto kanda hiyo hiyo, anaonesha ubabe zaidi akiwa huko na anajua kuwa huko ndipo ashangiliwapo acha awaoneshe wameweza kuzaa na kulea ipasavyo.
 
yule jamaa ambae alisema kuwa "mayalla" maana yake "njaa" ni kichaa namba 1,hasa kwa kauli zake tu utamjua jinsi kiwango cha ukichaa kilivyokuwa kikubwa tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…