Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?

mimi point zangu nazitoa kama msumali wa moto
Hadi kuna kipindi JPM alinifuata pm kunipongeza pale nilipo mchana wazi wazi kuwa amekosea
Mtu ukiwa kichaa, halafu kichaa mwingine akakufuata pm, na kukumbia mimi ndio JPM na ukaamini hadi kujitapa humu jf kuwa una exchange pm na JPM!. Only kichaa will believe this!.
Hawa vichaa wa humu...!, kazi kwelkwel!.
P
 
Mtu ukiwa kichaa, halafu kichaa mwingine akakufuata pm, na kukumbia mimi ndio JPM na ukaamini hadi kujitapa humu jf kuwa una exchange pm na JPM!. Only kichaa will believe this!.
Hawa vichaa wa humu...!, kazi kwelkwel!.
P
Mimi siyo mnafiki kama wahandishi wa habari wa tz hapo nilikuwa nakuonyesha uwezo wakutumia maneno ambayo wewe umesema ni matusi na hayamfai raisi ,sasa nakuona unajifanya kubadili gia kana kwamba ujanielewa ,iwe kichaa au siyo kichaa ila alikuwa rais na mimi nilimwambia ukweli waziwazi kule tweet ,sasa wewe kumwita jpm kichaa mwenzangu ndiyo kumheshimu mbona na wewe unafanya yale yale uliyokuwa unanionya mimi nisifanye au unakulaga kitimoto nini ?nikupe siri ya hii tabia ya hivi na miti moto
 
mimi nilimwambia ukweli waziwazi kule tweet
Moja ya sifa za vichaa, kutegemea na level ya kichaa chake, hawana kumbukumbu!, hivyo wengine baada ya few sentences anakuwa hakumbuki alisema nini kabla!.
Mwanzo ulisema JPM amekufuata pm!, nikakuambia only fools would believe that shit!.
Sasa unahamisha magoli kusema ni twitter!, kama ni kweli JPM alikupongeza kwenye twitter, please attach the screen shot, usituletee ukichaa wako humu!.
P
 
Moja ya sifa za vichaa, kutegemea na level ya kichaa chake, hawana kumbukumbu!, hivyo wengine baada ya few sentences anakuwa hakumbuki alisema nini kabla!.
Mwanzo ulisema JPM amekufuata pm!, nikakuambia only fools would believe that shit!.
Sasa unahamisha magoli kusema ni twitter!, kama ni kweli JPM alikupongeza kwenye twitter, please attach the screen shot, usituletee ukichaa wako humu!.
P
Mbona niliwekaga humu jf ndiyo maana nikasema unijui
Kuhusu pm kwani pm ni JF tu
 
Mbona niliwekaga humu jf ndiyo maana nikasema unijui
Kuhusu pm kwani pm ni JF tu
Ni kweli sikujui, kwa vile jf ni kubwa sana, mtu huwezi kumjua kila mtu, ila mimi ni mmoja wa wana jf wachache waliobahatika kuwajua vichaa kwa maandishi yao!. Wewe ni one of them, umebakiza very few steps kabla hujaanza... God forbid.
Uwe na siku njema!.
P
 
Mtu ukiwa kichaa, halafu kichaa mwingine akakufuata pm, na kukumbia mimi ndio JPM na ukaamini hadi kujitapa humu jf kuwa una exchange pm na JPM!. Only kichaa will believe this!.
Hawa vichaa wa humu...!, kazi kwelkwel!.
P
Wewe si umesema magufuli ni kichaa sasa heshima yako kwa rais ipo wapi ,acha unafiki
 
Ni kweli sikujui, kwa vile jf ni kubwa sana, mtu huwezi kumjua kila mtu, ila mimi ni mmoja wa wana jf wachache waliobahatika kuwajua vichaa kwa maandishi yao!. Wewe ni one of them, umebakiza very few steps kabla hujaanza... God forbid.
Uwe na siku njema!.
P
Wewe bila shaka utakuwa ni mmoja wa wasomi wa vyoo vikuu tz ,maana unaongea mafiii mafiii tu
 
Wewe bila shaka utakuwa ni mmoja wa wasomi wa vyoo vikuu tz ,maana unaongea mafiii mafiii tu
No, mimi sio msomi, ni daasa la saba la UPE, ila pia nawatambua sana vichaa kwa lugha zao za chooni!, na siku kikikupanda utajikuta unajipaka ...
P
 
Hivi kweli Tanzania tumefika hapa kuwaacha vichaa hawa kufanya ukichaa wao huku sote tukishangilia tuu bila kukemea, jee sote ni vichaa au kuna wenzetu wameisha jitambua, na wanaona tofauti na wanaweza kusaidia ili tubadilike?. Kama moja ya sifa za kuwa kiongozi wa kuchaguliwa, ni pamoja na kuwa na akili timamu, hivi huu utimamu unapimwajwe wakati tukiwashuhudia na maneno na matendo ya kiendawazimu, au ili kuwapima, au iwekwe kabisa kwenye sheria, taratibu na kanuni, moja ya vigezo wa kuwa kiongozi wa ofisi za umma ni pamoja na kupimwa afya ya akili, ili kuepuka kuwa na viongozi vichaa?. kesi
Mkuu Pascal hebu tuonyeshe mfano tuige, umeshasema ni vichaa, sasa wakitupa kesi ya ugaidi ya kupanga njama za kutaka kuuza mkoa wa Mtwara kwa Uingereza je! na ushahidi wanaandaa vilevile:mad:
 
Wanabodi,

Saa hizi natafuta usingizi unagoma, hivyo nimeshuka jf, tutafakari pamoja kuhusu huu utafiti uliowahi kufanywa na kubaini kuwa kwenye kila Watanzania 4, mmoja ni kichaa!.

Jee katika hizo sampling, inawezekana pia kukawa na baadhi ya viongozi wetu wa vyama, taasisi, mashirika, na serikali na taasisi zake?. Huu utafiti ulipotoka sikuuamini niliuona kama umekuwa too exaggerated, lakini kadri siku zinavyokwenda na mambo yanavyokuwa, mwenzenu nimeanza kuuamini utafiti huu kwa kujifanyia self diognosis na kukuta ni kweli, maana hata mimi mwenyewe kumbe sio mzima sana kivile!

Kumbe hata kukosa tuu usingizi (insomnia) kwa mawazo ni tatizo la akili!. Hata msongo wa mawazo, (depression) ni tatizo la akili!. Naomba na wewe hebu jifanyike a self diagnosis wewe mwenyewe kwa jiulize jee wewe ni mzima?, na kisha jiulize hivi sisi Watanzania tuu wazima kweli?

Tufanyeje kuondokana na hali hii?

93dabf10a9a1ea1c5395c14deb0a409c.jpg


Huu ni uzi wa swali..
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Mtu Aokote Makopo!. Jee Kuna Uwezekano Tanzania Tunao Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!.

Kuna msemo usemao kuwa kichaa sio lazima mtu mpaka aokote makopo, ila kwa maneno na matendo ya baadhi ya sisi Watanzania wakiwemo baadhi ya viongozi wetu, wa serikali, viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa vyama vya kijamii, viongozi wa Bunge letu Tukufu, badhi ya waheshimiwa Wabunge, madiwani na viongozi wa serikali za mitaa, nashawishika kabisa kuamini, kuna uwezekano mkubwa, baadhi yao au wengine wetu sio wazima sana kivile!, na wengine sio wazima hata kidogo!, kichwani hawana kitu kabisa bali ni kama vichaa kabisa, ila kwa vile hawaokoti makopo, then watu hatuwezi kuwajua kuwa ni vichaa!. Kuwa kichaa jameni sio lazima mpaka mtu aokote makopo!.

Hoja hii imetokana na kutafakari kwa makini baadhi ya kauli, maagizo, na maamuzi yetu sisi kama Watanzania na viongozi wetu across the section, na baadhi kauli na matendo yao yakiwemo maamuzi yao ,amri zao na hatua ambazo wanachukua kudeal na situations mbali mbali zinanithibitishia kuwa badhi ya viongozi wetu sio wazima kabisa upstairs, (kichwani) na mimi mwenyewe mwandishi wa bandiko hili nikiwa not exceptional!, hivyo wanahitaji kusaidiwa kujitafakari badala ya kushangiliwa tuu kwa kila wanachosema na wanachokifanya, hata wakifanya ndivyo sivyo, watashangiliwa tu na kupongezwa! .



Vichaa Viongozi.
Kwa muktadha huo wa ukichaa, ukiwasikiliza matamko wanayotoa baadhi ya wanasiasa wetu, viongozi wetu wa serikali, viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa taasisi mbalimbali wakiwemo baadhi ya wakuu wa mihimili, na hadi baadhi ya viongozi wetu wa dini, ukifuatilia kauli zao, amri zao, matendo yao na baadhi ya maamuzi yao, utakubaliana na mimi kuwa, japo ukiwaangalia kwa juu juu utawaona ni wazima kabisa, lakini uki wa scrutinize closely, utakubaliana na mimi kiukweli kabisa, wengine sii wazima sana upstairs, na hili litatathibitishwa na muda, hivyo kunauwezekano sisi Watanzania tuna vichaa wengi zaidi kuliko tunavyo jidhania!.

Jee Vichaa Hawa, Wako Katika Makundi Mangapi?.
Vichaa hawa wako katika makundi 5.
Kundi la Kwanza- Hawa ni vichaa wenye temporary insanity, au pseudo insanity, ambacho ni kile kichaa watu wengi wanacho hii huletwa na stress na hasira, au kuchanganyikiwa tuu kwa muda mfupi, ukitulia kinakwisha.

Kundi la Pili- ni la lunatics ambao hawa wanaenda na mwezi, au unaitwa wazimu, mwezi ukiwa mchanga, kinapanda, mwezi mpevu kinatulia, kama maji kujaa na kupwaa, au good moods na bad mood, akiwa kwenye bad mood ni kichaa ni kama kichaa lakini kikawaida yuko completely sane.

Kundi la Tatu -ni la wale wanaojitoa ufahamu, hili lina wanaume wachache sana, majority ni wanawake waliokwisha pita menopause. Hawa huwa wanajisemea chochote kile bila aibu. Kundi hili pia linawahusisha watu wote wenye msongo wa mawazo, depression, na wote wanaoamua kujiua.

Kundi la Nne -ni la wasema hovyo, wapayukaji, watenda vitendo vya kiajabu ajabu na wale wasiofunzwa na wazazi wao, hili ndilo kundi kubwa kabisa, hadi humu jukwaa, wako wengi kibao, wao ni matusi tu, hata ukiuliza kitu simple kwa nidhamu ya hali ya juu, subiria matusi yatakayoporomoshwa, walio bungeni wanaropoka, walio serikalini wanafanya maamuzi ya ajabu ajabu, etc.

Kundi la Tano- ni la wale ambao ni certified mental case, hawa ni wagonjwa kabisa na ukichaa wao ni ugonjwa kabisa, hawa sio kosa lao, ugonjwa wa kichaa ni kama ugonjwa mwingine wowote, tusicheke ugonjwa.

What to do to help out.
Mtu kichaa kwa kawaida huwa hajitambui, wala hajijui kuwa yeye ni kichaa mpaka atakapojulishwa ukichaa wake, na kujitafakari, ndipo atajigundua na kubadilika. Namna ya kuwasaidia viongozi wetu hawa vichaa kujitambua, ni pale wanapotamka matamshi ya kiendawazimu, au kutoa maamuzi ya kiendawazimu, badala ya kuwashangilia wazomeeni ili wazinduke na wajitambue.

Kitendo cha viongozi hawa kutoa matamshi ya kiendawazimu na maamuzi ya kiajabu ajabu na sisi tukiwashangilia badala ya kuwakemea au kuwazomea, hakuwasaidii, na hakutusaidii, na badala yake, kunapelekea wote kuonekana ni vichaa!.

Hivi kweli Tanzania tumefika hapa kuwaacha vichaa hawa kufanya ukichaa wao huku sote tukishangilia tuu bila kukemea, jee sote ni vichaa au kuna wenzetu wameisha jitambua, na wanaona tofauti na wanaweza kusaidia ili tubadilike?. Kama moja ya sifa za kuwa kiongozi wa kuchaguliwa, ni pamoja na kuwa na akili timamu, hivi huu utimamu unapimwajwe wakati tukiwashuhudia na maneno na matendo ya kiendawazimu, au ili kuwapima, au iwekwe kabisa kwenye sheria, taratibu na kanuni, moja ya vigezo wa kuwa kiongozi wa ofisi za umma ni pamoja na kupimwa afya ya akili, ili kuepuka kuwa na viongozi vichaa?.

Paskali
Rejea
Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu?

Hivi Kweli Kuna Mtanzania, Mwenye Akili Zake Timamu, Anaweza Kuichagua Tena CCM?!. Kwa Lipi?!.

Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.Tuache Cherry Picking Kutafuta Mbuzi Wa Kafara!.

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance?
Pascal mimi utafiti huu haunishangazi.Ukipima ujengaji hoja na ufahamu wa Watanzania walio wengi,hili linaonekana wazi.Infact hata hapa JF,this is clear.
 
Wewe unijui mm jf kuna mtu alikuwa na sifa bora hapa jf kapambana na mimi sikuizi sifa zimeporomoka kuwa ni zuzu tu sasa wewe mwache huyo Pascal Mayalla nimuonyeshe kazi na huu ujinga wake
Hiyo ni ndoto ... ni upumbaavu ,....ukweli ni kwamba japo Rais tuliye naye ni mpuuzi kichwani ila alikurupuka kushobokea chanjo
fanya,
SASA WEWE BOYA
Pascal Mayalla mwandishi zuzu mkuu unatuambia ujinga gani

Hivi wewe kweli ni muandishi au uliokotwa jalalani, tumefanya upumbavuu au upuuzi,mimi point zangu nazitoa kama msumali wa moto
Hadi kuna kipindi JPM alinifuata pm pale nilipo mchana wazi wazi kuwa amekosea na mimi nikamwambia kuwa huo ni upumbaaavu
Wewe bila shaka utakuwa ni mmoja wa wasomi wa vyoo vikuu tz ,maana unaongea mafiii mafiii tu
Wanabodi, huyu ni mwana jf mwenzetu, namhisi kama hayuko sawa upstairs, he is insane, naombeni tumsaidie, kwanza ni ukikutana na post yake yoyote anatukana watu ovyo, kwanza mkongolee kitufe cha thanks, kisha usimjibu kwa ukali au kumtukana, be gentle muonyeshe tunampenda na tunamjali, wazimu utamshuka.

Nimeamua kujitolea kumsaidia huyu dogo, maana watu wa type hii wanahitaji huruma, upendo na kusaidiwa, vinginevyo watakuja kuishia kuokota makopo!.

P.
 
Pascal mimi utafiti huu haunishangazi.Ukipima ujengaji hoja na ufahamu wa Watanzania walio wengi,hili linaonekana wazi.Infact hata hapa JF,this is clear.
Mkuu Mathanzua, kwanza naunga mkono hoja yako, pili nashauri, kwa vile kuna baadhi ya vichaa ukichaa wao ni wazimu tuu ukipanda wakati wa mwezi mchanga, wanakuwa wendawazimu kabisa, lakini wakati wa mwezi
mpevu hutulia kabisa and they are good fellows, hawa wanahitaji kusaidiwa kwanza kwa kuwa tolarated, kisha waonyeshwe ukichaa wao, wakijitambua wanapona kabisa!. Mimi nimejitolea kumsaidia kichaa mmoja humu.
P
 
Kwanza angalia
Naomba niendelee kusisitiza kuwa kichaa sio mpaka mtu kuokota makopo!.
P
Kwa mujibu wa buz insiders nchi kadhaa za Afrika zinaongoza kutumia jani la Arusha na nchi yetu ikiwa kwenye top 10.

Hawajaweza kuainisha wametumia sampuli gani kuja na facts zao.

Ila kwa sinema zinaoendelea mahali.mbalimbali ikiwemo sarakasi mjengoni, labda kuna degree ya ukichaa ikiwamo wa kutumia majani.
Screenshot_2022-05-24-14-11-56-960_com.miui.gallery.jpg
 
Kuna msemo usemao kuwa kichaa sio lazima mtu mpaka aokote makopo, ila kwa maneno na matendo ya baadhi ya sisi Watanzania wakiwemo baadhi ya viongozi wetu, wa serikali, viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa vyama vya kijamii, viongozi wa Bunge letu Tukufu, badhi ya waheshimiwa Wabunge, madiwani na viongozi wa serikali za mitaa, nashawishika kabisa kuamini, kuna uwezekano mkubwa, baadhi yao au wengine wetu sio wazima sana kivile!, na wengine sio wazima hata kidogo!, kichwani hawana kitu kabisa bali ni kama vichaa kabisa, ila kwa vile hawaokoti makopo, then watu hatuwezi kuwajua kuwa ni vichaa!. Kuwa kichaa jameni sio lazima mpaka mtu aokote makopo!.

Paskali
Duu, binadamu baba! Mwenzako kasema waislamu ni dhaifu umemjibu ni comment mbaya, ila wewe unamuita mtu mzima kichaa iwe sawa!
Mkuu lugano27 , kuita Waislamu ni dhaifu ni unfair generalization, lakini kama mtu kweli ni kichaa, kumuita kichaa sio kumtukana!, tena the reality, tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?
P
 
Back
Top Bottom