Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,697
- 1,962
Toka nizaliwe sijawahi ona barmaid wa kiume. Iwe ni kwenye bar za uchochoroni au kwenye hotels za kitalii.
Hoteli za kitalii zipi?Toka nizaliwe sijawahi ona barmaid wa kiume. Iwe ni kwenye bar za uchochoroni au kwenye hotels za kitalii.
Leo nilikuwa nipo vizuri mfukoni pamoja na ugumu wa maisha kwa mwezi mara moja nikaona sio mbaya kwenda kupiga moja ya MOTO moja baridi, nikaenda Manzese Kuna bar inaitwa tip-top pub if iam not mistaken.
Kufika pale nasubiri aje muhudumu kama tamaduni zetu zilivyo ghafla nikaona anakuja mwanaume mwenzangu kunihudumia halloo nikijiskia vibaya Sana tena ajabu yupo peke yake wote wa kike.
Nilijiuliza maswali yafuatayo
1. Je elfu 70 inakidhi vipi mahitaji yake na hapa ni Dar?
2.Changamoto za wateja anahimili vipi?
3. Je hawezi hata kubeba kapu la msambaa atembeze karanga au mayai ya wakurya?
Mwanaume hutakiwi kuwa muhudumu wa bar, tafuta kazi za kufanya unasikia we jamaa wa tip-top
Zote nilizowahi kutembelea mkuu. Sijawahi kukutana na barmaid wa kiume. Wewe ulishawahi kukutanao mkuu? Labda mtoa mada anamaanisha barman au bartender.Hoteli za kitalii zipi?
Si kweli, hujawahi kuingia hotel ya kitalii otherwise usingeandika hili.Toka nizaliwe sijawahi ona barmaid wa kiume. Iwe ni kwenye bar za uchochoroni au kwenye hotels za kitalii.
Tunazungumzia wahudumu wa bar kwenye hotel pia kuna bar, na kama umepanda ndege pia wahudumu ni jinsia zote.Zote nilizowahi kutembelea mkuu. Sijawahi kukutana na barmaid wa kiume. Wewe ulishawahi kukutanao mkuu? Labda mtoa mada anamaanisha barman au bartender.
Soma kwa makini utanielewa mkuu.Tunazungumzia wahudumu wa bar kwenye hotel pia kuna bar, na kama umepanda ndege pia wahudumu ni jinsia zote.
Leo nilikuwa nipo vizuri mfukoni pamoja na ugumu wa maisha kwa mwezi mara moja nikaona sio mbaya kwenda kupiga moja ya MOTO moja baridi, nikaenda Manzese Kuna bar inaitwa tip-top pub if iam not mistaken.
Kufika pale nasubiri aje muhudumu kama tamaduni zetu zilivyo ghafla nikaona anakuja mwanaume mwenzangu kunihudumia halloo nikijiskia vibaya Sana tena ajabu yupo peke yake wote wa kike.
Nilijiuliza maswali yafuatayo
1. Je elfu 70 inakidhi vipi mahitaji yake na hapa ni Dar?
2.Changamoto za wateja anahimili vipi?
3. Je hawezi hata kubeba kapu la msambaa atembeze karanga au mayai ya wakurya?
Mwanaume hutakiwi kuwa muhudumu wa bar, tafuta kazi za kufanya unasikia we jamaa wa tip-top
Kweli kabisa, usimdharau mtu humjui. Anaweza kua anakazi nzuri zaidi kuliko yako nyuma ya kazi hiyo ya bar.Maisha tu braza.
Huwezi jua nini kipo nyuma yake.
sana,wale jamaa huwa wako poa sana unaweza hata ukapiga nao story wakati wanakuhudumia,mimi nawaheshimu sana na wanavaaga smartNafikiri mpaka sasa kwa comment hizi bila shaka mwanzisha uzi kashajua kuwa yeye ni mpumbavu wa kiwango sawa na kilomita toka Kagera - Dar.
Eti barmaid wa kiume hahaaaaLeo nilikuwa nipo vizuri mfukoni pamoja na ugumu wa maisha kwa mwezi mara moja nikaona sio mbaya kwenda kupiga moja ya MOTO moja baridi, nikaenda Manzese Kuna bar inaitwa tip-top pub if iam not mistaken.
Kufika pale nasubiri aje muhudumu kama tamaduni zetu zilivyo ghafla nikaona anakuja mwanaume mwenzangu kunihudumia halloo nikijiskia vibaya Sana tena ajabu yupo peke yake wote wa kike.
Nilijiuliza maswali yafuatayo
1. Je elfu 70 inakidhi vipi mahitaji yake na hapa ni Dar?
2.Changamoto za wateja anahimili vipi?
3. Je hawezi hata kubeba kapu la msambaa atembeze karanga au mayai ya wakurya?
Mwanaume hutakiwi kuwa muhudumu wa bar, tafuta kazi za kufanya unasikia we jamaa wa tip-top
toa ubongo wako ndani ya hilo boxAshibae hamjui mwenye njaa.
Usijione umefika maisha yana mambo mengi haya.
Na hamna cha ajabu hapo, zunguka kwenye mahoteli, restaurants za mjin mbona wapo wengi tu.
Toa ubongo wako ndani ya hilo box.