Kuvuta Bangi Ruksa Colorado/Marekani!!

Kuvuta Bangi Ruksa Colorado/Marekani!!

Oikos

Senior Member
Joined
May 5, 2011
Posts
198
Reaction score
111
Leseni zaidi ya mia tatu zimetolewa na Jiji la Denver katika jimbo la Colorado kuanzia majuzi za kuuza bangi na kwamba sasa ni ruksa kwa yeyote mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea kuvuta bangi katika jimbo hilo. Inasemekana kuwa kwa utafiti uliofanyika kisayansi ni kwamba bangi inaweza ikasaidia sana katika kutibu maradhi kadhaa na pia husaidia kuwapatia watu usingizi mnono. Upepo huu ukifika kwetu hapa tutakuwa tumekwisha na hasa katika hali hii ya ugumu wa maisha. Tukiwa na wabunge wengi wanaovuta bangi mswada huu utapita kilaini. Tujihadhari!!!
 
Leseni zaidi ya mia tatu zimetolewa na Jiji la Denver katika jimbo la Colorado kuanzia majuzi za kuuza bangi na kwamba sasa ni ruksa kwa yeyote mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea kuvuta bangi katika jimbo hilo. Inasemekana kuwa kwa utafiti uliofanyika kisayansi ni kwamba bangi inaweza ikasaidia sana katika kutibu maradhi kadhaa na pia husaidia kuwapatia watu usingizi mnono. Upepo huu ukifika kwetu hapa tutakuwa tumekwisha na hasa katika hali hii ya ugumu wa maisha. Tukiwa na wabunge wengi wanaovuta bangi mswada huu utapita kilaini. Tujihadhari!!!

Hao walioipitisha wana maendeleo kuliko sisi. Bangi oyeeee..
 
Leseni zaidi ya mia tatu zimetolewa na Jiji la Denver katika jimbo la Colorado kuanzia majuzi za kuuza bangi na kwamba sasa ni ruksa kwa yeyote mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea kuvuta bangi katika jimbo hilo. Inasemekana kuwa kwa utafiti uliofanyika kisayansi ni kwamba bangi inaweza ikasaidia sana katika kutibu maradhi kadhaa na pia husaidia kuwapatia watu usingizi mnono. Upepo huu ukifika kwetu hapa tutakuwa tumekwisha na hasa katika hali hii ya ugumu wa maisha. Tukiwa na wabunge wengi wanaovuta bangi mswada huu utapita kilaini. Tujihadhari!!!

Cc. charminglady
 
Last edited by a moderator:
Msijali nanyi mchagueni Slaa 2015 ili munywe gongo kama maji ya uhai.
 
Kila shetani na mbuyu wake

Wengi tumeshuhudia wachezaji wakikokota mpira kuelekea kwenye magoli yao na kufuatwa kwa shauku na timu pinzani bila kujua kuwa wanapangwa ili mpira ukigeuzwa iwe rahisi kufunga magoli

Tuwe makikni na hawa viumbe, they are very tricky, hawafanyi mambo kwa hasara wanategeshea, tukijifanya wajanja tukawaiga na kuwashabikia tjutakuwa in for it na tutajutia kuiga mambo yao,

Wito wangu kwa watanzania wenzangu. tupime mambo ya kupokea toka ughaibuni maana si kila litokalo huko ni jema, nchi yetu imejaaliwa kuwa na rasilimali nyingi, hivyo yatupasa kuelekeza fikra zetu huko ili kuvirithisha vizazi vyetu mambo yenye maana katika maisha.
 
Hata pale tabata dampo, manzese, mwananyamala ni ruksa kuvuta bange kauanzia saa 12 jioni.
 
wangeruhusu tu hata hapa bongo tuwe tunavuta kama sigara bange ni nzuri sana kama inakupenda lakini!
 
Leseni zaidi ya mia tatu zimetolewa na Jiji la Denver katika jimbo la Colorado kuanzia majuzi za kuuza bangi na kwamba sasa ni ruksa kwa yeyote mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea kuvuta bangi katika jimbo hilo. Inasemekana kuwa kwa utafiti uliofanyika kisayansi ni kwamba bangi inaweza ikasaidia sana katika kutibu maradhi kadhaa na pia husaidia kuwapatia watu usingizi mnono. Upepo huu ukifika kwetu hapa tutakuwa tumekwisha na hasa katika hali hii ya ugumu wa maisha. Tukiwa na wabunge wengi wanaovuta bangi mswada huu utapita kilaini. Tujihadhari!!!

Umeripoti vizuri.

Lakini mtazamo wako ndio umeharibu kabisaa. wenzenu walioendelea kitechnogy, kwa kutumia ripoti za kisayansi wameridhia ivutwe kwa anayetaka na isiwe kosa, wewe unatutisha eti "tujihashari"
mimi naungana na kikwete aliyeenda kuchekiwa afya yake na wavuta bange kujihadhari na wewe.

ref: BUSH DOCTOR by Peter tosh.
lyrics Bush Doctor

Warning!
Warning! The Surgeon General warns
Cigarette smoking is dangerous, dangerous
Hazard to your health
Does that mean anything to you
To legalize marijuana
Right here in Jamaica
I`m say it cure glaucoma
I man a de Bush Doctor
So there`ll be
No more smokin and feelin tense
When I see them a come
I don`t have to jump no fence
Legalize marijuana
Down here in Jamaica
Only cure for asthma
I man a de Minister(of the Herb)
So there`ll be no more
Police brutality
No more disrespect
For humanity
Legalize marijuana
Down here in Jamaica
It can build up your failing economy
Eliminate the slavish mentality
There`ll be no more
Illegal humiliation
And no more police
Interrogation
Legalize marijuana
Down here in sweet Jamaica
Only cure for glaucoma
I man a de Bush Doctor
So there be
No more need to smoke and hide
When you know you`re takin
Illegal ride
Legalize marijuana
Down here in Jamaica
It the only cure for glaucoma
I man a de Minister
 
mbona hata hapa ni kama vile imehalalishwa sioni tofauti. ukweli ni kuwa sigara ni mbaya kuliko bangi
 
Mkuu wacha nione maisha katika Mwanga Bora 2014!!!!!!!!!!!!!!!!!! :bange: :bange: :bange:

Duhhhh!Hapo utaona giza bora sio mwanga!Nakusihi niko chini ya miguu yako,badili hayo mawazo charminglady,2014 uanze upya,ukiwa kiumbe kipya,bange mwiko!Katika kipindi cha mkasi,RC alisema alianza na bange,akaishia kuwa punda!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom