Kuvunjika kwa uchumba

jaribu kumtuliza mchumba wako ili ujue tatizo.

kuoa ni swala la kumshawishi mwanamke akubali kufwatana na wewe.

kuna familia hazipendi kuona mwanamke anaenda kuishi maisha yake rasmi, bila mwanamke kujua yeye mwenyewe anataka nini ni shida pia.

ila bembeleza kujua tatizo.
 
Pole Mkuu kapata mhuni anayesimamia kucha. Atampelekea moto wa kutosha kisha atasepa hapo ndiyo atakaporudi kwako kuomba radhi ili mrudiane.
Jamani wanasheria naombeni ushauri Mimi nilikuwa na mwanamke ambaye alikuwa mchumba wangu , na tulisha chumbiana mpaka kumvalisha Pete na mipango ya harusi ikaanza Sasa Basi akiwe yeye yupo katika hatua ya kujiandaa na send off na Mimi pia nikiwa najiandaa kwa harusi ambayo ilitakiwa ifanyike mwezi wa 9 ,lakini ajabu mwanamke amekuja kunitamkia kuwa tusitishe mahusiano yetu na hayupo tayari kuolewa na Mimi inshort hanitaki Tena , Sasa nauliza je Sheria inasemaje yanapotokea Haya

Naombeni ushauri na maana taratibu za kutaka mahali yetu irudishwe inaendelea lakini wazazi wa binti sio waungwana kila siku wanatupiga maneno tu , naombeni ushauri
 
Inawezekana hajakosea hata kitu kaka wa watu. Issue ya kufunga ndio sio kila mtu hufurahia. Hapo mdada baadae anaweza shangaa kwanini alifanya hilo tukio na ikawa tayari ni too late
Ila haya mambo.


Mimi nilishashuhudia couple moja ilitikisa sana kanisani..yaani ilikuwa couple ya mfano.
Dada mstaarabu,kaka mstaarabu mno,yaani gentleman sana yule jamaa.

Kaka alikuwa anafanya kila kitu kwa yule dada aisee,halafu dada alipopata maisha akaja kumuacha..
Alisema hana sababu maalum ya kumuacha ila ameona tu amepata mtu mwingine ambaye anampa furaha zaidi ya ile anayopata kwa huyo kaka.,na anasema wazi huyo kijana wa Sasa Wala hana uwezo sana kifedha kama Yule wa mwanzo..ila ndio anaona roho yake ina amani.
Akaamua kuzaa na huyo mwingine.

Kila mtu alibaki anasikitika na hata kujudge ilikuwa ngumu.
 
Kuachwa hua ni kosa la alieachwa

Cha ajabu alieachwa hua anaamini yeye hana kosa kumbe yupo dellusional

Mwamba ndio ana makosa binafsi labda ni weaknesses na vitu vingine ndio maana kaachwa

Ifike pahali mtu uwe na uwezo wa kutatua kasoro zako za mapenzi wewe mwenyewe uache kwenda serikalini au kumlaumu aliekuacha

Huyo mwanamke kaona it was not in her best interests kuendelea kua na loser kama huyo in her own view

Huyo mwanamke yuko sahihi,haiwezekani aendelee kua na mtu ambae yeye anaona sio anavyotaka yeye

Alieachwa ajilaumu yeye kama yeye kwamba hakufaulu mtihani kwenye ubongo wa alie muacha

Majitu mengine mashenzi sana,yanalia lia vitu vya kipumbavu kabisa

Lenyewe linadhani huyu dada ampokee tu hata kwa lazima on his own self interests sababu asiumie moyo na alitoaga muda wake,etc

Kila mtu ana self interest hapa,kama hakuna overlap za common interest basi dump each other and stop complaining
Mkuu unazidi kupigilia misumari.

Siku hii hali ikikukuta unaweza jikuta unalia zaidi ya mwamba hapa.
 
Ila haya mambo.


Mimi nilishashuhudia couple moja ilitikisa sana kanisani..yaani ilikuwa couple ya mfano...
Tamaa mbele mauti nyuma. Ukishajua maisha hayana formula na aliyeko juu leo hujui kesho yuko wapi huwez fikia uamuzi huo tena kwa mtu mliyependana mpaka kufikia ndoa. Watu wengine hupenda vilivyoiva ila hatua za kuivisha hataki. Unabaki kutanga na dunia.
 
Tamaa mbele mauti nyuma. Ukishajua maisha hayana formula na aliyeko juu leo hujui kesho yuko wapi huwez fikia uamuzi huo tena kwa mtu mliyependana mpaka kufikia ndoa. Watu wengine hupenda vilivyoiva ila hatua za kuivisha hataki. Unabaki kutanga na dunia.
Kaka aliwahi kumaliza shule miaka miwili mbele kabla ya dada.

Kipindi chote yupo shule alikuwa anapata support ya kaka,kuna muda nyumbani kuliyumba lakini kaka alipigana..
Alikuwa na roho nzuri mno.

Dada livyomaliza tu shule akapata kazi ..ndio hayo yakatokea.

Anasema huyo kaka aliyemuacha alimkuta kipindi ametoka kwenye break-up,kwahiyo alimkubali ili kupunguza maumivu,kwa Sasa amepata sehemu anayopata amani zaidi ..
Imagine 3yrs mtu anakuja kuzaa na mtu mwingine.

Sometimes wanawake tunatumia hisia zaidi kuliko akili.

Lakinikila mtu ana maamuzi yake.

Watu walitafuta kujua sababu,kwanini couple ile haijaishia kwenye ndoa,
Kumuuliza dada kuwa labda kijana alikukosea,anasema hapana,hajawahi nikosea chochote.
 
Dada zetu wamejaaliwa roho ngumu sana.

Usisikitike sana mkuu; mshukuru Mungu huenda amekuepusha na mengi huko mbele.
 
Mimi wala hainisumbui maana nipo rational kupita maelezo

Maana siwezi kua mad na mtu kwa kujali her own interests kwanza mine maana ni haki yake

Haya mengine ya kwenda mpaka serikalini ni kuonyesha reasoning yako bado ni ya hovyo ndio maana hata huyo dada kakubwaga to begin with sababu you cant handle reality!
Ila we jamaa
witnessj njoo umuone kaka yako.
 
Safi sana

Huyo dada yuko sahihi

mengine ni emotions tu...
Angemkataa tangu mwanzo basi kuliko wanakaribia ndoa ndio anaanza kusema ana mtu mwingine.

Muda waliopoteza pamoja ni mwingi mno na kaka alikuwa anaangalia hapo hapo tu,anaanza tena kuanza upya.

Kila mtu na maamuzi yake.

Kikubwa dada ana amani zaidi huko alipo na amuombe Mungu jamaa mpya asibadilike.
 
Halafu baadae ndio nyie nyie mnaosema wanawake wanapenda hela kuliko mapenzi. Maana kwa nlivyoelewa hapo kaka alitoa kwa nia njema kwa kumjali mpenzi wake na dada akachukulia ni opportunity ya kumfilisi kaka wa watu.
Ni tabia mbaya kama humpendi mtu bora umwambie kuliko kumtumia halafu unamtema kama bigG
Kaka alitoa kwa nia ya kumsaidia tu na si kwamba dada alikuwa na njaa kihivyo.

Ilifika kipindi dada alipoteza mzazi wake aliyebakia na maisha yakayumba,ila kaka alifanya kumsaidia kibinadamu kabisa.
Hii alifanya kwa watu wote wenye uhitaji,si kwa dada tu eti kwa sababu ni mpenzi wake.

Kwakweli hii stori ilinihuzunisha,sikutegemea kama ingeishia hivi.
 
Halafu baadae ndio nyie nyie mnaosema wanawake wanapenda hela kuliko mapenzi. Maana kwa nlivyoelewa hapo kaka alitoa kwa nia njema kwa kumjali mpenzi wake na dada akachukulia ni opportunity ya kumfilisi kaka wa watu.
Ni tabia mbaya kama humpendi mtu bora umwambie kuliko kumtumia halafu unamtema kama bigG
Imagine mtu amekaa naye 3yrs
Na alivyokuwa na tabia njema yule kaka ,hakuwa na makandokando kabisa ya pembeni.

Nyie roho ya huruma iliniingia,nilijaribu kuvaa viatu vyake.
Japo naheshimu pia hisia za dada.
 
Jamani wanasheria naombeni ushauri Mimi nilikuwa na mwanamke ambaye alikuwa mchumba wangu , na tulisha chumbiana mpaka kumvalisha Pete na mipango ya harusi ikaanza Sasa Basi akiwe yeye yupo katika hatua ya kujiandaa na send off na Mimi pia nikiwa najiandaa kwa harusi ambayo ilitakiwa ifanyike mwezi wa 9 ,lakini ajabu mwanamke amekuja kunitamkia kuwa tusitishe mahusiano yetu na hayupo tayari kuolewa na Mimi inshort hanitaki Tena , Sasa nauliza je Sheria inasemaje yanapotokea Haya

Naombeni ushauri na maana taratibu za kutaka mahali yetu irudishwe inaendelea lakini wazazi wa binti sio waungwana kila siku wanatupiga maneno tu , naombeni ushauri
Mjanja kapendwa
 
Dada naona umeangalia upande wa huyo kaka pekee yake

Mimi naangalia upande wa huyo dada aliefanya maamuzi

Reality ni kwamba both of them used each other

Kaka alikua na pesa,kaona dada yupo vurnerable financially,akaingia na gia ya kutoa msaada ili apate penzi

Utaniambia ooh sijui kaka alimpenda sana mpaka katoa hela and blah blah blah

Kama alimpenda sana na hakua na motives za ku-exploit hali ya umasikini wa huyo dada basi asingelalamikia hela zake alizotoa kipindi anaachwa mwishoni

Ni kwamba,penzi kaka alilipata kwa convinicience kipindi dada ana shida ana kaka can fill the financial vacuum

Sasa hivi hiyo financial problem has been solved,dada ni financially independent,naturally umuhimu wa huyo kaka lazima upotee maana yeye ali-base umuhimu wake kwa kutoa msaada wa kifedha

Yeye kaka alidhani kutoa pesa kutampa leverage ya penzi milele kutoka kwa huyu dada maana alikua mtoa matunzo,wakati dada kashavuka hiyo shida inatakiwa aangalie moyo wake unamtaka nani na sio kuendelea kushikiliwa na yule mwanaume sababu tu eti alimsaidiaga kipindi cha shida financially

Unatumia past vurnerabilities za huyu dada kum-hold hostage milele asipende mtu amtakae?

Wacha sanaa

Piga chini hiyo maiti,he paid for the ride,safari imeisha,its time for huyo dada kupata mtu of her own choice and not convenience

Acha kua na mihemko kwa vihela vyenu vya msaada,dada hakua na namna

Acheni kabisa kupitisha judgement mufilisi hizo

Na huu upumbavu wa nilimsaidiaga kipindi cha shida and blah blah kipo vinchi vyetu hivi vya kimasikini huku

Kila kitu boils down to pesa this pesa that and blah blah....hii ni sababu ya umasikini mkubwa kutoa hela kunaonekana ni ultimate sacrifice kumbe ni nonsense tu
Yeye anadai alimkubalia kwa sababu alikuwa na maumivu ya mapenzi wakati huo,alikuwa ametoka kubreak up na mtu.

Kipindi wanaanza wote walikuwa na hali nzuri tu kifedha,
Baadaye dada aliyumba kidogo ndio kaka akawa anamsaidia..
Kumhudumia kama mpenzi alifanya wakati wote(dada alipokuwa na shida na hata alipokuwa vizuri)

Kaka hakulalamika hukusu hela zake ..walalamikaji ni mashabikiwashuhudiaji wa yaliyotokea
 
Dunia ina mengi

Hatuwezi kumhukumu sana huyo dada

Ndo maana huwa tunashauriwa kusali sana kipindi chote cha maandalizi mpaka ndoa itakapofungwa.

Inaweza kuwa ni akili yake huyo dada au pengine walimwengu wameingilia kati

You never know

Mshukuru Mungu kwa kila kitu,samehe,kung'uta mavumbi maisha lazima yaendelee

Pesa zinatafutwa kama wanazingua kurudisha mahali achana nao waachie
 
Back
Top Bottom