Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,610
- 225,204
Uchumba siyo ndoa,unavunjika.
Cha muhimu akurudishie mahari uliyotoa,,maana asiporudisha huo ni wizi.
Cha muhimu akurudishie mahari uliyotoa,,maana asiporudisha huo ni wizi.
Huyo amepigwa kipapaiDah broo nakuelewa Sana , yaani mpaka nahisi kafungwa kiakili maana akiulizwa kwanini umeamua anasema Mimi huwa namwambia njoo unifulie wakati bado hata ndoa sasa kiuhalisia haiingii akikini
Haya bhana ndio maaana vijana saivi wanavutana wanaishi fresh tu ili kumkwepa huyo shetani hala mambo ya paperwork yatafuata baadaeHizo dakika za lalasalama shetani husimamia show kwa namna ya ajabu kabisa... ! Nimeshakutana na kesi nyingi za namna hii na nyingine zikiwa ni simulizi za hapa JF
Utaratibu wa kudai mahati unategemea na mila.za kabila lako na kabila la mwanamkeJamani wanasheria naombeni ushauri Mimi nilikuwa na mwanamke ambaye alikuwa mchumba wangu , na tulisha chumbiana mpaka kumvalisha Pete na mipango ya harusi ikaanza Sasa Basi akiwe yeye yupo katika hatua ya kujiandaa na send off na Mimi pia nikiwa najiandaa kwa harusi ambayo ilitakiwa ifanyike mwezi wa 9 ,lakini ajabu mwanamke amekuja kunitamkia kuwa tusitishe mahusiano yetu na hayupo tayari kuolewa na Mimi inshort hanitaki Tena , Sasa nauliza je Sheria inasemaje yanapotokea Haya
Naombeni ushauri na maana taratibu za kutaka mahali yetu irudishwe inaendelea lakini wazazi wa binti sio waungwana kila siku wanatupiga maneno tu , naombeni ushauri
Potezea tu mkuu wanawake wapo wengi pia huwezi jua Mungu kakwepusha na lipi, Pengine siku angekuchomea ndani uive kama ndafu.Jamani wanasheria naombeni ushauri Mimi nilikuwa na mwanamke ambaye alikuwa mchumba wangu , na tulisha chumbiana mpaka kumvalisha Pete na mipango ya harusi ikaanza Sasa Basi akiwe yeye yupo katika hatua ya kujiandaa na send off na Mimi pia nikiwa najiandaa kwa harusi ambayo ilitakiwa ifanyike mwezi wa 9 ,lakini ajabu mwanamke amekuja kunitamkia kuwa tusitishe mahusiano yetu na hayupo tayari kuolewa na Mimi inshort hanitaki Tena , Sasa nauliza je Sheria inasemaje yanapotokea Haya
Naombeni ushauri na maana taratibu za kutaka mahali yetu irudishwe inaendelea lakini wazazi wa binti sio waungwana kila siku wanatupiga maneno tu , naombeni ushauri
AtiiiUchumba siyo ndoa,unavunjika.
Ch muhimu akurudishie mahari uliyotoa,,maana huo ni wizi.
Kikubwa ni kusimama na Mungu kipindi hiki cha lalasalama na baada ya hapoHaya bhana ndio maaana vijana saivi wanavutana wanaishi fresh tu ili kumkwepa huyo shetani hala mambo ya paperwork yatafuata baadae
NdiyoAtiii
Kwamba familia imeiba mahari
Sawa mkuuKikubwa ni kusimama na Mungu kipindi hiki cha lalasalama na baada ya hapo
Dah! You never know Annie... Ya duniani mengi.Ndiyo
Kwanini binti abadili gia angani namna hiyo?
Ya duniani mengi lakini mimi naona hadi kumruhusu mtu alete mahari kwenu ni hatua kubwa..Dah! You never know Annie... Ya duniani mengi.
Ilipaswa huyu mtoa mada amuhoji kwa kina mchumba wake sababu zilizompelekea mpaka avunje uchumba. Wasipoelewana basi mshenga ashirikishwe.
Halafu kuna siku atalalamika kwamba shetani alimpitia anaomba mambo yaishe mrudiane....
Au atalalamika kwamba anamikosi ya kuolewa. Shenzi kabisa
Ya duniani mengi lakini mimi naona hadi kumruhusu mtu alete mahari kwenu ni hatua kubwa..
Halafu kirahisi tu umwambie hutaki kuolewa!
Cha muhimu arudishe mahari.
Yaani nimefanya hivyo pia na Kuna dada ake ambeye wameshare baba , nilimshikikisha kutokana na kuwa tangu nakuwa amekuwa akisaport Sana na tangu tunaingia uchumba huyu dada amekuwa akinishauri vitu vingi hasa kusali Sana maana ni mtu wa dini , kwaivyi ilipotokea mdogo wake ameamua tuachane nikaona sio mbaya kumshirikisha huwezi Amini alikaa na mdogo wake masaa zaidi ya ma 4 akisali nae na kumuuliza kwanini kaamua hivyo hakuwa na jibu zaidi ya kusema tu nimeamua tu ,Dah! You never know Annie... Ya duniani mengi.
Ilipaswa huyu mtoa mada amuhoji kwa kina mchumba wake sababu zilizompelekea mpaka avunje uchumba. Wasipoelewana basi mshenga ashirikishwe.
Washirikishe na wajomba / washenga.Yaani nimefanya hivyo pia na Kuna dada ake ambeye wameshare baba , nilimshikikisha kutokana na kuwa tangu nakuwa amekuwa akisaport Sana na tangu tunaingia uchumba huyu dada amekuwa akinishauri vitu vingi hasa kusali Sana maana ni mtu wa dini , kwaivyi ilipotokea mdogo wake ameamua tuachane nikaona sio mbaya kumshirikisha huwezi Amini alikaa na mdogo wake masaa zaidi ya ma 4 akisali nae na kumuuliza kwanini kaamua hivyo hakuwa na jibu zaidi ya kusema tu nimeamua tu ,
Khaaaaa!!!!Yaani nimefanya hivyo pia na Kuna dada ake ambeye wameshare baba , nilimshikikisha kutokana na kuwa tangu nakuwa amekuwa akisaport Sana na tangu tunaingia uchumba huyu dada amekuwa akinishauri vitu vingi hasa kusali Sana maana ni mtu wa dini , kwaivyi ilipotokea mdogo wake ameamua tuachane nikaona sio mbaya kumshirikisha huwezi Amini alikaa na mdogo wake masaa zaidi ya ma 4 akisali nae na kumuuliza kwanini kaamua hivyo hakuwa na jibu zaidi ya kusema tu nimeamua tu ,