Kuvimba kwa Tezi Dume (Benign Prostate Hyperplasia BPH) Featured

Kuvimba kwa Tezi Dume (Benign Prostate Hyperplasia BPH) Featured

Umetokwa na povu jingi sana mdomoni,sema kwa kifupi,rais wenu amepasuliwa BUSHA (KENDE) sema amechoka kukaa na mzigo,lakini huo ndo ufahari wa watu wa pwani.(WASWAHILI)
 
Nauliza: mtu anyefanyiwa operesheni ya kuondoa kabisa tezi dume na sehemu zinazozunguka kutokan na saratania, atakuwa na uwezo wa kufanya mapenzi? Muda gani mpaka uwezo wake umrudie baada ya kufanyiwa? Jee, kuna dawa yeyote inayotibu ikiwa amepoteza uwezo huo kabisa?
 
Nahitaji kujua tofauti ya tezi dume na busha maana kwa sasa ndio habari ya mjini.

Kila mtu anaongea la kwake sasa.Na je ugonjwa wa kuwekewa mpira kukojolea kwa wanaume unasababishwa na nini?

Naomba anayejua atufafanulie maana kuna habari tofauti tofauti
 
Tezi dume na busha ni vitu viwili tofauti, tezi dume ndio kisababishi kikuu cha prostate cancer ila busha inabaki kama ilivyo. ILA mie sio dr. kabisa wadau nimejibu kwa upeo wangu mdogo.
 
Busha ni hali ya kujaa maji ktk fuko la korodani na linatibika ila kwa Tezi dume ni ukoo mmoja na Busha Jina tu limebadilishwa.
 
Mkuu tunaomba tupia email yako tuweze kuwasiliana nawe moja kwa moja mkuu. Hongera sana Mti mkavu.
 
Umetokwa na povu jingi sana mdomoni,sema kwa kifupi,rais wenu amepasuliwa BUSHA (KENDE) sema amechoka kukaa na mzigo,lakini huo ndo ufahari wa watu wa pwani.(WASWAHILI)

Sidhani kama umelelewa ktk maadili mema ya baba na mama, ndio maana umekosa hekima, busara na adabu. mwana mtoka pabaya wewe.
 
Mkuu tunaomba tupia email yako tuweze kuwasiliana nawe moja kwa moja mkuu. Hongera sana Mti mkavu.
 
Wapi mzee wa kaya...! Mzee wa tezi duuuuume, get well soon mkuu wa kaya
 
Kwa faida ya watanzania wote naomba kufahamu tofauti ya Busha na Tezi dume. Maana yawezekana mtu akawa anaumwa busha mi nikawa nadhania ni tezi dume maana watu wa pwani ni rahisi sana kupata busha.

ASANTENI WADAU
 
Busha Linatokana Na Minyo Wakati Kuumwa Kwa Tezi Dume Mara Nyingi Huwa Kansa.
 
Tezi dume ndio busha sema akiugua mtu wa kawaida wanasema busha akiugua kiongozi tezi dume ha ha ha ha ha mimi ndivyo nilivyoelewa wengine wanaweza kuongeza kadri ya ufahamu wao.
 
Hili swali nikiliangalia kwa mbaaaali kama kuna kitu nakiona hivi kwa nyuma ila haya hebu niache pengine labda natumia JICHO LA TATU kutazama nisije nikaenda mbali ngoja niache hapa hapa tu,watakuja ngoja.
 
Tezi dume ndio busha sema akiugua mtu wa kawaida wanasema busha akiugua kiongozi tezi dume ha ha ha ha ha mimi ndivyo nilivyoelewa wengine wanaweza kuongeza kadri ya ufahamu wao.

Kuna nlikuwa nakiona hapa kwa mbaaali asee,teh teh.

Kwa hiyo tukinywa sisi wanasema pombe haramu ila wakinywa wao wanasema ni pombe kali.

Tukiiba sisi wanasema wezi ila wakiiba wao wanaitwa mafisadi.

Umenikumbusha mbali sana kwa kauli yako asee,stay blessed.
 
Back
Top Bottom