mwangukule
Senior Member
- Aug 15, 2013
- 131
- 7
nimeipenda comment yako na nakuingiza kwenye kundi hilo, CHADEMA wote ni watu mnaondeshwa na emotion kama wanawake,mjejawa na fikra dogo na hasira nyingi bila kujua siasa ni nini?. Wazur wa ku2kana na kupinga hoja za wa2 bila kutoa mbadala wa mnachopinga....Siasa ni ugonjwa na ni mchezo mchafu 2zindukane angalia kiongoz bora sio chama coz vyama vyote duniani ni sawa