Kuvaa nguo ya CCM ni dhambi?

Kuvaa nguo ya CCM ni dhambi?

nimeipenda comment yako na nakuingiza kwenye kundi hilo, CHADEMA wote ni watu mnaondeshwa na emotion kama wanawake,mjejawa na fikra dogo na hasira nyingi bila kujua siasa ni nini?. Wazur wa ku2kana na kupinga hoja za wa2 bila kutoa mbadala wa mnachopinga....Siasa ni ugonjwa na ni mchezo mchafu 2zindukane angalia kiongoz bora sio chama coz vyama vyote duniani ni sawa
 
mkuu nguo za chama huwa navaa ila sijawahi tinga nazo mwanza mjini kwani mimi ninaishi USAGARA kama unaenda busisi.
Embu na we jaribu kuvaa labda wamenionea tu hao watu walionizomea,nimechukia kweli leo

Sign up kwanza mkuu.
 
mleta mada: Practically YES (legally NO).
Kwa ufupi watu wamechoka, na wewe ni shahidi no. 1.
Enenda na nyakati.
 
Iwapo hii ni kweli, basi tumefika pabaya mno

Kwanini mtu anyanyapaliwe kwa kutumia uhuru wake wa kikatiba?
ni uhuru kikatiba kutembea ukiwa unanuka kikwapa lakini wenzio wana uhuru kikatiba pia wa kukaa mbali na wewe. Nguo ulizovaa zinakutambulisha wewe ni mtu wa aina gani na unamaanisha nini kwa hao wanaokunyanyapaa.
 
Hata hivyo shukuru sana mimi GreenCity sikuwepo hapo makoroboi siku mbili hizi!
 
Last edited by a moderator:
mi ningekuchapa kofi kabisaaa,sawa una uhuru lakini sio wa kuvaa ccm
 
Mkuu kuwa makini sana na hizo nguo za ccm, siku nyingine unaweza kuchomwa moto kabisa...
 
Waarabu wa Pemba hutambuana kwa vilemba vyao,hizo sare zilikufanya utambuliwe kama mmoja wao(wezi,mafisadi,wang'oa kucha,)
Hata mimi ningekufukuza kwenye gari yetu,Tanzania nzima tukiwanyanyapaa namna hiyo nadhani mtajifunza na kubadilisha tabia
 
Unatakiwa kwenda na wakati, watu wanakemea ufisadi we unavaa mabango yao. Watu wanakemea mapepo wewe unawanga mchana.
 
Hizo za kijan kavalie kwao baba ridhi huko bwagamoyo so miji ya wajanja cku nyingine utakufa kabla ya wakati wako
 
Ni dhambi kubwa,hata mungu hatakusamehe kutangaza chama cha mafisadi kwa viumbe vyake
 
nimeipenda comment yako na nakuingiza kwenye kundi hilo, CHADEMA wote ni watu mnaondeshwa na emotion kama wanawake,mjejawa na fikra dogo na hasira nyingi bila kujua siasa ni nini?. Wazur wa ku2kana na kupinga hoja za wa2 bila kutoa mbadala wa mnachopinga....Siasa ni ugonjwa na ni mchezo mchafu 2zindukane angalia kiongoz bora sio chama coz vyama vyote duniani ni sawa

Mkuu nafikr umekurupuka hasema CDM wamemtukana au wamemkataza asipande hiace maana siyo ya M4C bali ni watu wa kawaida kabisa walochoka ni sera za magamba, cha msingi ajiangalie kutokuvaa jezi hzo, not all people r the same
 
Awali ya yote niwasalimieni nyote.

Nilikuwa na safari ya kutoka sokoni hapa mwanza mjini na niliitaji kwenda hadi Kilimahewa nikaona nipite Makoroboi ili nipande hiace pale karibu na mataa.

Nimekutana na dhahama na kunyanyapaliwa kusiko na mfano mara niitwe teja,fisadi wengine wananisukuma bila sababu kisa nimevaa tisherti ya Ccm,kosa langu ni lipi hadi kufikia hata wenye hiace wanakataa nisipande gari yao?

Nimepatwa na hasira sana!

Sio dhambi ila ni kukoswa akili kwa hali ya juu sana
 
Sio dhambi ni uhuru wako wa kikatiba ila sio busara kufanya bashara na jezi ya yanga mbele ya jengo la simba na kinyume chake. Angalia eneo ulilokuwepo au walikuwa wanaenda wapi.
 
Back
Top Bottom