utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 213
- 7
Kuna wazo la biashara linanijia lakini sina mtaji ,ngoja niwauzie wanachama hapa watanipoza kidogo!
Nchi sas hivi inazizima kwa masual ya katiba mpya na malipo ya dowans..ukitengeneza tshirt ukaandika TUNATAKA KATIBA MPYA na au HAKUNA KUWALIPA DOWANS!Utauza wewe!ila usinisahau mtoa wazo.HII ITASAIDIA WATANZANIA KUPATA UJUMBE HUU MUHIMU KWA MAISHA YETU.
nawasilsha
Nchi sas hivi inazizima kwa masual ya katiba mpya na malipo ya dowans..ukitengeneza tshirt ukaandika TUNATAKA KATIBA MPYA na au HAKUNA KUWALIPA DOWANS!Utauza wewe!ila usinisahau mtoa wazo.HII ITASAIDIA WATANZANIA KUPATA UJUMBE HUU MUHIMU KWA MAISHA YETU.
nawasilsha