Kuuza mechi kisa binti mpole

Kuuza mechi kisa binti mpole

Greg50

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
1,979
Reaction score
2,494
Kuuza mechi kwa kigezo cha kuwa binti ni mpole, mkimya, mnyenyekevu, mlokole, ustadhat, hana makandokando ni kujitafutia kaburi la mapema.

Kuna siku utakuja kusikia anayoyafanya nyuma ya pazia hutaamini macho yako (japo sio wote).

Ni vyema kujikinga hata kama binti ananena kwa lugha usiaminiamini tuu.
 
Kupima kwa macho ni hatari sana wakuu bora nisifanye kuliko kujiaminisha kwa macho. Kinga muhimu sana tujikinge Magonjwa yapo.
 
Kuuza mechi kwa kigezo cha kuwa binti ni mpole, mkimya, mnyenyekevu, mlokole, ustadhat, hana makandokando ni kujitafutia kaburi la mapema.

Kuna siku utakuja kusikia anayoyafanya nyuma ya pazia hutaamini macho yako (japo sio wote).

Ni vyema kujikinga hata kama binti ananena kwa lugha usiaminiamini tuu.
Kama wale walokole swaafi na waimba kwaya ni
 
Kuuza mechi kwa kigezo cha kuwa binti ni mpole, mkimya, mnyenyekevu, mlokole, ustadhat, hana makandokando ni kujitafutia kaburi la mapema.

Kuna siku utakuja kusikia anayoyafanya nyuma ya pazia hutaamini macho yako (japo sio wote).

Ni vyema kujikinga hata kama binti ananena kwa lugha usiaminiamini tuu.
Kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom