Kuuza Figo kwa Tsh 250 Milioni

Kuuza Figo kwa Tsh 250 Milioni

Habarini wakuu, baada ya kuambiwa hilo dili nimebaki kujiuliza maswali
mawili ambayo naomba msaada wenu.
1.Nini madhara ya kuishi na figo moja?
2. Ni mambo gani ya kuchunga ili uweze kuishi vema na figo moja?

Majibu yenu yatanipa mwanga ili niweze kufanya uamuzi wa busara.
Toa alfu tafuta boya kwenye chocho chomoa figo then unarudishia figo lako
 
Hapana mkuu mimi nimeshawishiwa tu na rafiki yangu ambaye yuko Canada
ndio maana nikj kuuliz madhara huku kbla sijafanya maamuzi
muambie aendelee kutafuta na wateja wengine, huku Africa watu kibao wapo willing kuuza
haswa Tanzania
maisha mafupi haya
 
Habarini wakuu, baada ya kuambiwa hilo dili nimebaki kujiuliza maswali
mawili ambayo naomba msaada wenu.
1.Nini madhara ya kuishi na figo moja?
2. Ni mambo gani ya kuchunga ili uweze kuishi vema na figo moja?

Majibu yenu yatanipa mwanga ili niweze kufanya uamuzi wa busara.
Nani umuuzie figo kwa bei kubwa hiyo, wakati kuna watu wanatekwa na kuchomolewa figo na baadaye kuuzwa?
 
Dah 250 mil kwa figo moja?!! hilo zali la mentali changamkia kabla hajabadili mwelekeo kwani figo mpaka mil 10 watu wananunua ukitangaza hapa utapata wauzaji wengi tu...
 
Milion 250 ni dili la kusahau shida nirudi kitaalam kutoa figo na kubaki na moja haina madhara ila itabidi ubadili mfumo wa ulaji wa chakula ili kuifanya hiyo figo usiichoshe na kujikinga na magonjwa
 
Soko lake lipo wapi?ni soko huria au ni mambo ya siri siri?
 
Back
Top Bottom