Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,414
- 3,205
Hakuna madhara yoyote ya kuishi na figo moja, actually mwili wa binadam huhitaji uwezo wa figo chini ya figi moja ili kuweza kutoa taka mwilini. Madhara tu ni kuilinda hiyo figo moja isiharibike hivo utabidi kubadili tabia ya ulaji na unywaji ili kulinda figi hiyo moja isife. Ni sawa tu na amtu mwenye jicho mojaHabarini wakuu, baada ya kuambiwa hilo dili nimebaki kujiuliza maswali
mawili ambayo naomba msaada wenu.
1. Nini madhara ya kuishi na figo moja?
2. Ni mambo gani ya kuchunga ili uweze kuishi vema na figo moja?
Majibu yenu yatanipa mwanga ili niweze kufanya uamuzi wa busara.