GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,292
- 6,769
gazeti kwani ufugaji wa kuku umekuaje tena mkuu, hadi ufanye mambo ya watu waliokata tamaa kabisa ya maisha boraHabarini wakuu, baada ya kuambiwa hilo dili nimebaki kujiuliza maswali
mawili ambayo naomba msaada wenu.
1.Nini madhara ya kuishi na figo moja?
2. Ni mambo gani ya kuchunga ili uweze kuishi vema na figo moja?
Majibu yenu yatanipa mwanga ili niweze kufanya uamuzi wa busara.
Pamoj na kuwa kuna pesa inaingia lakini pia inahusugazeti kwani ufugaji wa kuku umekuaje tena mkuu, hadi ufanye mambo ya watu waliokata tamaa kabisa ya maisha bora
kwa hiyo motivation kubwa kwako hapa ni upendo au hela?Pamoj na kuwa kuna pesa inaingia lakini pia inahusu
kuokoa uhai wa binadamu mwingine na hilo ndio kubwa zaidi
sasa mimi sina taaluma ya udaktari hivyo kama kuna madhara
makubwa haina haja ya kujiingiza ndio maana nikaanza kuuliza
vinginevyo ilibidi niingie moja kwa moja.
haya bana, hutaki kubeba matatizo ya watu bureVyote mkuu, lakini sipendi uwe upendo wa mshumaa, unaangazia wengine huku
wenyewe unateketea.
Hahahaah eti unatafuta lililochoka LA mtu....!!!!Katoe tu fresh uchukue hyo 250 alaf unatenga 50 unatafta la mtu lililochoka choka unanunia yanapatikana tu mkuu
Benny... khaa.. hiyo lugha wengi hapa itawapita ..bila kutambuwa Champions RMA !!